escrow one
JF-Expert Member
- Nov 29, 2014
- 1,472
- 2,867
tupo bize tunajenga nchi, hangaikeni na gaidi lenu.Haya kachukue 7000/- pale Lumumba na wewe umechangia
tupo bize tunajenga nchi, hangaikeni na gaidi lenu.Haya kachukue 7000/- pale Lumumba na wewe umechangia
CHADEMA wamejipa wenyewe nafasi ya kutuletea mwenendo wa kesi wakati ikiendelea kwenye kesi inayo mhusu Mbowe. Ila nimegundua kitu cha ajabu sana kuwa uwakilishi wa mawakilisho na maswali ya mawakili wa utetezi ni fasaha na unamtririko mzuri Wakati ule wa upande wa mashitaka mtiririko wake si fasaha, unamakosa mengi ya uchapaji na urarudia rudia mambo.
MFANO
UPANDE UTETEZI
Shahidi: Simfahamu wala sijawahi Kufika Central Dar
Nashon: Unasemaje kuhusu Detention Register aliyokuja nayo hapa Mahakamani
Shahidi: sifahamu alitoa wapi
Nashon: Kuna sehemu yoyote katika Ile Detention Register ambayo amekuinyesha Ulisaini wakati wanakupokea
Shahidi: sikuona
Nashon: Wakati Dective Msemwa anatoa Ushahidi Anasema alikuwa na Afande Fatuma kama CRO incharge,Je ulishwa kumuina FATUMA hapa Mahakamani.?
Shahidi: Hapana
Nashon: ni Kweli Kwamba Wakati Mkiwa mnaelekea Mbweni walikwambia watakupoteza.?
Shahidi: Afande Goodluck aliniambia Tutakupoteza Kama Moses Lijenje
Jaji: alisema wakati gani
Shahidi: Wakati tunayoka Tazara kwenda Mbweni,Tukiwa kwenye Gari
Nashon: ulielewa nini Kwa Maneno tutakutupa..?
Shahidi: nilijua kuwa watanipoteza,Wataniua alafu hakuna atakaye jua nipo wapi
UPANDE WA SERIKALI
Jaji: Naona Hamuelewani Wakili uliza kwa Yale Mambo ya kawaida hayo ni Mambo ya Kijeshi
Wakili wa Serikali: Nilifikiri ni Mwalimu atakiwa anajua Mambo yote
Wakili wa Serikali: Kipindi Cha Muda Gani ulitumia kujifunza Kupigana katares Mpaka ukaweza
Jaji: Ndiyo Mwalimubwa amambo ya Jeshi siyo Kiswahili
Shahidi: Miezi Sita ya Kozi,92Kj
Wakili wa Serikali: Ulikaa Miezi sita 92KJ ukijifunza kupigana karates
Shahidi: Ndiyo
Wakili wa Serikali: Ulifanya Phase ngapi.?
Wakili wa serikali: ni sehmu Gani Nyingine ulienda Kupata Mafunzo ya karates
Shahidi: phase Moja,Mengine niliyapatia Mahala pengine
Shahidi: nilienda Kujifunza Kick Boxing kwa Wafaransa
Wakili wa Serikali: Kwa Miezi Mingapi
Je ni nini lengo la upotoshaji huu?
Uwe unaleta wewe updatesCHADEMA wamejipa wenyewe nafasi ya kutuletea mwenendo wa kesi wakati ikiendelea kwenye kesi inayo mhusu Mbowe. Ila nimegundua kitu cha ajabu sana kuwa uwakilishi wa mawakilisho na maswali ya mawakili wa utetezi ni fasaha na unamtririko mzuri Wakati ule wa upande wa mashitaka mtiririko wake si fasaha, unamakosa mengi ya uchapaji na urarudia rudia mambo.
MFANO
UPANDE UTETEZI
Shahidi: Simfahamu wala sijawahi Kufika Central Dar
Nashon: Unasemaje kuhusu Detention Register aliyokuja nayo hapa Mahakamani
Shahidi: sifahamu alitoa wapi
Nashon: Kuna sehemu yoyote katika Ile Detention Register ambayo amekuinyesha Ulisaini wakati wanakupokea
Shahidi: sikuona
Nashon: Wakati Dective Msemwa anatoa Ushahidi Anasema alikuwa na Afande Fatuma kama CRO incharge,Je ulishwa kumuina FATUMA hapa Mahakamani.?
Shahidi: Hapana
Nashon: ni Kweli Kwamba Wakati Mkiwa mnaelekea Mbweni walikwambia watakupoteza.?
Shahidi: Afande Goodluck aliniambia Tutakupoteza Kama Moses Lijenje
Jaji: alisema wakati gani
Shahidi: Wakati tunayoka Tazara kwenda Mbweni,Tukiwa kwenye Gari
Nashon: ulielewa nini Kwa Maneno tutakutupa..?
Shahidi: nilijua kuwa watanipoteza,Wataniua alafu hakuna atakaye jua nipo wapi
UPANDE WA SERIKALI
Jaji: Naona Hamuelewani Wakili uliza kwa Yale Mambo ya kawaida hayo ni Mambo ya Kijeshi
Wakili wa Serikali: Nilifikiri ni Mwalimu atakiwa anajua Mambo yote
Wakili wa Serikali: Kipindi Cha Muda Gani ulitumia kujifunza Kupigana katares Mpaka ukaweza
Jaji: Ndiyo Mwalimubwa amambo ya Jeshi siyo Kiswahili
Shahidi: Miezi Sita ya Kozi,92Kj
Wakili wa Serikali: Ulikaa Miezi sita 92KJ ukijifunza kupigana karates
Shahidi: Ndiyo
Wakili wa Serikali: Ulifanya Phase ngapi.?
Wakili wa serikali: ni sehmu Gani Nyingine ulienda Kupata Mafunzo ya karates
Shahidi: phase Moja,Mengine niliyapatia Mahala pengine
Shahidi: nilienda Kujifunza Kick Boxing kwa Wafaransa
Wakili wa Serikali: Kwa Miezi Mingapi
Je ni nini lengo la upotoshaji huu?
kwani chakula?!
... mpelekeni Mahera akaripoti.CHADEMA wamejipa wenyewe nafasi ya kutuletea mwenendo wa kesi wakati ikiendelea kwenye kesi inayo mhusu Mbowe. Ila nimegundua kitu cha ajabu sana kuwa uwakilishi wa mawakilisho na maswali ya mawakili wa utetezi ni fasaha na unamtririko mzuri Wakati ule wa upande wa mashitaka mtiririko wake si fasaha, unamakosa mengi ya uchapaji na urarudia rudia mambo.
MFANO
UPANDE UTETEZI
Shahidi: Simfahamu wala sijawahi Kufika Central Dar
Nashon: Unasemaje kuhusu Detention Register aliyokuja nayo hapa Mahakamani
Shahidi: sifahamu alitoa wapi
Nashon: Kuna sehemu yoyote katika Ile Detention Register ambayo amekuinyesha Ulisaini wakati wanakupokea
Shahidi: sikuona
Nashon: Wakati Dective Msemwa anatoa Ushahidi Anasema alikuwa na Afande Fatuma kama CRO incharge,Je ulishwa kumuina FATUMA hapa Mahakamani.?
Shahidi: Hapana
Nashon: ni Kweli Kwamba Wakati Mkiwa mnaelekea Mbweni walikwambia watakupoteza.?
Shahidi: Afande Goodluck aliniambia Tutakupoteza Kama Moses Lijenje
Jaji: alisema wakati gani
Shahidi: Wakati tunayoka Tazara kwenda Mbweni,Tukiwa kwenye Gari
Nashon: ulielewa nini Kwa Maneno tutakutupa..?
Shahidi: nilijua kuwa watanipoteza,Wataniua alafu hakuna atakaye jua nipo wapi
UPANDE WA SERIKALI
Jaji: Naona Hamuelewani Wakili uliza kwa Yale Mambo ya kawaida hayo ni Mambo ya Kijeshi
Wakili wa Serikali: Nilifikiri ni Mwalimu atakiwa anajua Mambo yote
Wakili wa Serikali: Kipindi Cha Muda Gani ulitumia kujifunza Kupigana katares Mpaka ukaweza
Jaji: Ndiyo Mwalimubwa amambo ya Jeshi siyo Kiswahili
Shahidi: Miezi Sita ya Kozi,92Kj
Wakili wa Serikali: Ulikaa Miezi sita 92KJ ukijifunza kupigana karates
Shahidi: Ndiyo
Wakili wa Serikali: Ulifanya Phase ngapi.?
Wakili wa serikali: ni sehmu Gani Nyingine ulienda Kupata Mafunzo ya karates
Shahidi: phase Moja,Mengine niliyapatia Mahala pengine
Shahidi: nilienda Kujifunza Kick Boxing kwa Wafaransa
Wakili wa Serikali: Kwa Miezi Mingapi
Je ni nini lengo la upotoshaji huu?
Yupo tu anaandika kwa huzuni utadhani kaporwa kirikuu yake.😝😝😝😝Wakilisha upande unaoelemewa
Sasa si na wewe ukawe ripota?? Nenda Mahakamani rusha updates...Anayecheka mwisho ndiye anacheka sana- jipeni moyo , mchezo uendelee ila mahakamani unaandikwa tu ushahidi
Ova,Kwa nini weye usiwawakilishe CCM?
CHADEMA wamejipa wenyewe nafasi ya kutuletea mwenendo wa kesi wakati ikiendelea kwenye kesi inayo mhusu Mbowe. Ila nimegundua kitu cha ajabu sana kuwa uwakilishi wa mawakilisho na maswali ya mawakili wa utetezi ni fasaha na unamtririko mzuri Wakati ule wa upande wa mashitaka mtiririko wake si fasaha, unamakosa mengi ya uchapaji na urarudia rudia mambo.
MFANO
UPANDE UTETEZI
Shahidi: Simfahamu wala sijawahi Kufika Central Dar
Nashon: Unasemaje kuhusu Detention Register aliyokuja nayo hapa Mahakamani
Shahidi: sifahamu alitoa wapi
Nashon: Kuna sehemu yoyote katika Ile Detention Register ambayo amekuinyesha Ulisaini wakati wanakupokea
Shahidi: sikuona
Nashon: Wakati Dective Msemwa anatoa Ushahidi Anasema alikuwa na Afande Fatuma kama CRO incharge,Je ulishwa kumuina FATUMA hapa Mahakamani.?
Shahidi: Hapana
Nashon: ni Kweli Kwamba Wakati Mkiwa mnaelekea Mbweni walikwambia watakupoteza.?
Shahidi: Afande Goodluck aliniambia Tutakupoteza Kama Moses Lijenje
Jaji: alisema wakati gani
Shahidi: Wakati tunayoka Tazara kwenda Mbweni,Tukiwa kwenye Gari
Nashon: ulielewa nini Kwa Maneno tutakutupa..?
Shahidi: nilijua kuwa watanipoteza,Wataniua alafu hakuna atakaye jua nipo wapi
UPANDE WA SERIKALI
Jaji: Naona Hamuelewani Wakili uliza kwa Yale Mambo ya kawaida hayo ni Mambo ya Kijeshi
Wakili wa Serikali: Nilifikiri ni Mwalimu atakiwa anajua Mambo yote
Wakili wa Serikali: Kipindi Cha Muda Gani ulitumia kujifunza Kupigana katares Mpaka ukaweza
Jaji: Ndiyo Mwalimubwa amambo ya Jeshi siyo Kiswahili
Shahidi: Miezi Sita ya Kozi,92Kj
Wakili wa Serikali: Ulikaa Miezi sita 92KJ ukijifunza kupigana karates
Shahidi: Ndiyo
Wakili wa Serikali: Ulifanya Phase ngapi.?
Wakili wa serikali: ni sehmu Gani Nyingine ulienda Kupata Mafunzo ya karates
Shahidi: phase Moja,Mengine niliyapatia Mahala pengine
Shahidi: nilienda Kujifunza Kick Boxing kwa Wafaransa
Wakili wa Serikali: Kwa Miezi Mingapi
Je ni nini lengo la upotoshaji huu?