Vi rendra
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 3,258
- 5,571
watu wenyewe mnaoa mkiwa 30's
Hatutaki kuona mimba za ma first lady
Hilo wazo hao walioona 40 ndio miaka ya kuwa Rais walishalijadili.. walijadiliana watu wenye uwezo wa kufikiria mpaka ukomo wetu.. wakaona faida ya kuwa kiongozi katika umri huo ni nyingi sana.
20s mpaka30s jiachieni tu sio umri wa kupewa Taifa uliendeshe mkuu
Hatutaki kuona mimba za ma first lady
Hilo wazo hao walioona 40 ndio miaka ya kuwa Rais walishalijadili.. walijadiliana watu wenye uwezo wa kufikiria mpaka ukomo wetu.. wakaona faida ya kuwa kiongozi katika umri huo ni nyingi sana.
20s mpaka30s jiachieni tu sio umri wa kupewa Taifa uliendeshe mkuu