Kunasababu kijana mwenye degree kuoa binti mwenye degree

Ndokeji

JF-Expert Member
Jun 9, 2011
698
474
Habari wana jf natumaini wengi wenu hamjambo jamani katika maisha yangu ya kila siku swali hili linanisumbua sana na jamii inayonizunguka hubishana sana bila mwafaka nalileta kwenu leo naamini nitatoka na majibu mazuri Swali ni kwamba kijana wakiume aliyesoma akafika hadi ngazi ya chuo kikuu kunasababu akaoa binti wa chuo kikuu ? Diploma ?au anaweza kuoa hata form four au Darasa la saba?
 
Nyie kwenye hayo mabishano.yenu hua mnafikia muafaka gani?

Haifai. . . .
Tuliofeli chekechea sharti tuolewe na waliofeli chekechea, std 7 kwa std 7, secondary kwa secondary na chuo kwa chuo maana watu wanaoa elimu na sio watu wengine.
 
Nashindwa kuelewa
Unamuoa mtu kwa sababu ya elimu yake au kwa sababu ni mke bora au atakuwa mke bora

Kwani u meambiwa kuwa kwake na elimu ya chuo au ya darasa la saba ndo atakuwa mke bora au hatakuwa mke bora
Ahhh

Lakini Rocky, kiwango cha elimu kwenye mapenzi hakihusiki kweli?
 
wee oa tuu yoyote maana kama kupitiwa mbavuni wote watapitiwa sio wa degree, poloma wa standard 7
 
Lakini Rocky, kiwango cha elimu kwenye mapenzi hakihusiki kweli?


Sometime kinahusika
Ila sio kiwe kikwazo kuwa kwa kuwa nina degree siwezi kumuoa wa darasa la saba au kwa kuwa huyu ni wa darasa la saba siwezi kumuoa kwa kuwa nina degree
Mapenzi yako kwa kila mtu NN na mke ambaye umempenda waweza kumuendeleza wewe mwenyewe mpaka afikie unakotaka wewe
 
Nyie kwenye hayo mabishano.yenu hua mnafikia muafaka gani?

Haifai. . . .
Tuliofeli chekechea sharti tuolewe na waliofeli chekechea, std 7 kwa std 7, secondary kwa secondary na chuo kwa chuo maana watu wanaoa elimu na sio watu wengine.
Jamani hizo threads then bwana zinachosha, mwanaume kujiamini bwana hata awe phd as long as age zinaendana, unaweka ndani,, Nyi ndo mafataki mnapenda girls wa bei rahisi muwanyanyase,,

To be honest mi na undergraduate degree yangu hii hii huwa sina kabisa mawazo ya kudate na cheap girls, napenda the same level and above as i like challenge, mi mwanamke wa kujibu yes tu kila nachosema simtaki nataka sometimes tubishane kwa hoja, i used to date graduates na tena sometimes wenye kazi zao nzuri na hawazingui,, na time ikifika anaefaa ataolewa hata awe na elimu gani
 
Jamani hizo threads then bwana zinachosha, mwanaume kujiamini bwana hata awe phd as long as age zinaendana, unaweka ndani,, Nyi ndo mafataki mnapenda girls wa bei rahisi muwanyanyase,,

To be honest mi na undergraduate degree yangu hii hii huwa sina kabisa mawazo ya kudate na cheap girls, napenda the same level and above as i like challenge, mi mwanamke wa kujibu yes tu kila nachosema simtaki nataka sometimes tubishane kwa hoja, i used to date graduates na tena sometimes wenye kazi zao nzuri na hawazingui,, na time ikifika anaefaa ataolewa hata awe na elimu gani

MK ningeomba ufute hiyo kauli ya "cheap girls" ukimaanisha ambao hawajasoma. Kutosoma kwa mtu hakumfanyi cheap, na kusoma hakumfanyi expensive au sijui tuseme bora.

Alafu challenge hazitolewi darasani, wapo watu waliosoma lakini sio waulizaji wala wakosoaji, wao ni somba somba. Na kuna watu ambao japo hawajasoma sana ni waulizaji, wakosoaji na ni wadadisi. Kwahiyo usimdharau mtu kwa kiwango cha elimu yake, mdharau kwa tabia zake.
 
Habari wana jf natumaini wengi wenu hamjambo jamani katika maisha yangu ya kila siku swali hili linanisumbua sana na jamii inayonizunguka hubishana sana bila mwafaka nalileta kwenu leo naamini nitatoka na majibu mazuri Swali ni kwamba kijana wakiume aliyesoma akafika hadi ngazi ya chuo kikuu kunasababu akaoa binti wa chuo kikuu ? Diploma ?au anaweza kuoa hata form four au Darasa la saba?

Inategemeana na muoaji anaoa kwa lengo gani, kama anaoa kwa ajili ya discussion za kimasomo it's good kuoa kulingana na Elimu ya mtu.
 
Alafu challenge hazitolewi darasani, wapo watu waliosoma lakini sio waulizaji wala wakosoaji, wao ni somba somba. Na kuna watu ambao japo hawajasoma sana ni waulizaji, wakosoaji na ni wadadisi. Kwahiyo usimdharau mtu kwa kiwango cha elimu yake, mdharau kwa tabia zake.

Succinctly and properly put.
 
Habari wana jf natumaini wengi wenu hamjambo jamani katika maisha yangu ya kila siku swali hili linanisumbua sana na jamii inayonizunguka hubishana sana bila mwafaka nalileta kwenu leo naamini nitatoka na majibu mazuri Swali ni kwamba kijana wakiume aliyesoma akafika hadi ngazi ya chuo kikuu kunasababu akaoa binti wa chuo kikuu ? Diploma ?au anaweza kuoa hata form four au Darasa la saba?
Ingawa 'vyeti' vina nafasi yake lakini cha muhimu zaidi ni je "kichwani mwa huyo graduate, dipl. holder au std 7 kuna nini" katika hali halisi!?
 
Jamani hizo threads then bwana zinachosha, mwanaume kujiamini bwana hata awe phd as long as age zinaendana, unaweka ndani,, Nyi ndo mafataki mnapenda girls wa bei rahisi muwanyanyase,,

To be honest mi na undergraduate degree yangu hii hii huwa sina kabisa mawazo ya kudate na cheap girls, napenda the same level and above as i like challenge, mi mwanamke wa kujibu yes tu kila nachosema simtaki nataka sometimes tubishane kwa hoja, i used to date graduates na tena sometimes wenye kazi zao nzuri na hawazingui,, na time ikifika anaefaa ataolewa hata awe na elimu gani

Mkata kiu,pamoja sana wangu,hawa watu wanaogopa wasomi,wakikaa na kujua dunia inapoelekea ni wapi,wasingekuwa na mawazo potofu kama hayo.Cheap gals niwa party time tu,and they don't teach you anything.Pamoja!
 
Mkata kiu,pamoja sana wangu,hawa watu wanaogopa wasomi,wakikaa na kujua dunia inapoelekea ni wapi,wasingekuwa na mawazo potofu kama hayo.Cheap gals niwa party time tu,and they don't teach you anything.Pamoja!
There goes another one. . .
Huo ucheap mnawapa kisa tu hawajasoma? Na wewe unajiona ni matawi kisa umesoma japo hujaelimika? Kaaazi kweli kweli.
 
Elimu ni jambo la muhimu na lazima ,lakini maisha na mahusiano hayapimwi kwa viwango vya vyeti/degree. Unaposema wasichana/wanawake ambao hawajasoma ni "cheap" kwa experience yangu wasichana/wanawake ambao wanaelimu degree holders+ ndo wanapatikana kiurahisi zaidi kulikoni ambao hawajaenda shule. Labda uhenda ikawa mbinu au maeneo ambayo kila mmoja wetu anakutana na mlengwa wake. Kwangu mimi mdada msomi huwa anafunguka faster jibu huwa ni Yes au kama hataki anakulamba BIG NO. Lakini ambao hawajasoma hawaelweki itakuchukua muda kufahamu kakubali au hataki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom