floow
JF-Expert Member
- Mar 20, 2017
- 411
- 852
Siwezi kupiga Sm wala kupokea Sms na hata Tigo Pesa siwezi kutumia ,,nimejalibu kuangalia usajili Wangu hapa,,naambiwa laini Yangu haina usajili
Naombeni mnifahamisha kama na huko kwenu mambo ndio yako hivi
Maana nimeshakua na wasi wasi hapa maana ndio laini yangu ya kuingizia hela
Naombeni mnifahamisha kama na huko kwenu mambo ndio yako hivi
Maana nimeshakua na wasi wasi hapa maana ndio laini yangu ya kuingizia hela