inasikitisha kuona karibu viongozi wote wa serikali ya kikwete kila anayeumwa lazima aende kutibiwa india hivi ni lini tutajikubali wenyewe ? au nazo hospitali zetu za kichina ?[/QU Mkuu hospitali zetu ndo kama unavyojua tena...lakini pia ukiachia maendeleo ilopiga india kwenye matuala ya matibabu,bado hudma zao ni nafuu na magonjwa yao ni ya kimaskini maskini kama yetu,kwa kifupi wanatumudu!