lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,939
- 517
Kuna matatizo ya kupandisha Mashetani mara kwa mara katika baadhi ya shule za wasichana za bweni/boarding. Matatizo haya yamepelekea baadhi ya shule kuwatumia Mashekh na Wachungaji kuwaombea wanafunzi hawa na inaposhindikana shule hufungwa.
Kuna baadhi ya watu wanahusisha matukio haya na imani za kishirikina wengine husema ni hali ya kawaida kwa wasichana. Sasa mwenye uelewa zaidi na mambo haya atujuze
Kuna baadhi ya watu wanahusisha matukio haya na imani za kishirikina wengine husema ni hali ya kawaida kwa wasichana. Sasa mwenye uelewa zaidi na mambo haya atujuze