TEAM 666
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 4,330
- 8,420
- Thread starter
- #101
hii kitu inaweza kufanya Mapinduzi makubwaa ya ulimwengu wa SodaFresh kabisa hii hapa ikija bongo itapindua sokoView attachment 1722215
Amini ninavyokwambiaa
hii kitu inaweza kufanya Mapinduzi makubwaa ya ulimwengu wa SodaFresh kabisa hii hapa ikija bongo itapindua sokoView attachment 1722215
Ndo akili y'ako ilipoishia hapo?Kwanza miwa siyo tunda na pili sukari ya kwenye sida na kwenye miwal na ya kwenye chungwa ni ileile. Haina tofauti.
Mtu akijibu namna hii ni ishara kuwa hana jibuYaani mpaka sasa hujajua madhara ya soda
Soda ina macid na mimaji na sukariMtu akijibu namna hii ni ishara kuwa hana jibu
Juice ya ukwaji nzuri ni ya kutengeneza mwenyeweeeJuisi ya ukwaju inakinaisha sana. Mi nilizipenda sana zilipotoka but now no
Kwa hiyo chakula au kinywaji ambacho hakina vitamins yoyote ni hatari kwa afya?Au we unafikiiri soda ina vitamins yyteee
Juice ina vyote hiviSoda ina macid na mimaji na sukari
Motive ya mteja kwenye vinywaji kujiburudisha zaidi na si nini ana Add...pia umeambiwa utaje madhara.Soda siyo kinywaji kinachorutubisha mwili
Hitaji la mteja kuburudika si vitaminsMzeeeeeeeee
Au we unafikiiri soda ina vitamins
Naongezea nyama soda imejaa- makemikali kibaooSoda ina macid na mimaji na sukari
Soda siyo kinywaji kinachorutubisha mwili
Mzeeeeeeeee
Au we unafikiiri soda ina vitamins yyteee
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Acha kulivunjia heshima vumbi la kongo wwIkiongezwa ndimu na tangawizi ya kutosha alafu iwe pure bila barafu...Kwanza ukienda kukojoa tu mkojo mtamu...Nguvu za hapo za kiume, utasahau mambo ya superdume na vumbi la burundi. Wazoefu watakubaliana na mimi
Kweli we Utopolo?Juice ya ukwaji nzuri ni ya kutengeneza mwenyeweee
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Babu Asprin ni nini tena?Vitoto ni relative term... naweza kuwa kitoto kwa babu yako lakini nikawa mchumba wa mama yako...
Ni ukosefu wa nidhamu kumwita mtu wa umri wa baba yako "kitoto"
Sisi watu wazima hatushangai... tunajua tuliteleza kwenye malezi...
Ndio adhabu ya kuwahi sana kuoa...
Angalia tarehe niliyojiunga JF, nikitokea Jambo Forums, ndio utajua kati ya mimi na wewe ni nani amevamia hii Forum
Bado naendelea kuruhusu matusi, ili uifurahishe nafsi yako...
Nawe pia Babu.Heri ya mwaka mpya mpenzi...
Mekumisi mpaka naumwa..
Achana na hayo matoto kizazi cha nyoka. Nilikuwa nasaidia malezi kidogo...
Achana nao. Mi najua tatizo ni malezi...Nawe pia Babu.
Heri ya Mwaka Mpya.. Nakumiss zaidi.
Ha ha ha!!! Wanataka kukukosea heshima Babu? Wasamehe.
Hatua zangu hukuziona Babu?Achana nao. Mi najua tatizo ni malezi...
Sasa kama na wewe umenimisi kwanini hujachukua hatua sahihi ili tutatue hili tatizo?