Kunani mbona ndugu zetu wa kihindi hawaonekani katika umati unaomuaga Magufuli?

Status
Not open for further replies.

Father of All

JF-Expert Member
Feb 26, 2012
6,376
6,709
Baba yenu sijui uzee sijui macho yangu. Katika pita pita yangu sioni ndugu zetu wa kihindi wakimuaga jemadari shujaa wetu John Pombe Magufuli kama wanyonge au kwa vile wao si wanyonge. Si Dar, Zenj na sasa Mwanza, sioni ndugu hawa wanaosifika kufaidi uchumi wa nchi yetu japo si kwa sana kipindi hiki cha Magufuli.
 
Baba yenu sijui uzee sijui macho yangu. Katika pita pita yangu sioni ndugu zetu wa kihindi wakimuaga jemadari shujaa wetu John Pombe Magufuli kama wanyonge au kwa vile wao si wanyonge. Si Dar, Zenj na sasa Mwanza, sioni ndugu hawa wanaosifika kufaidi uchumi wa nchi yetu japo si kwa sana kipindi hiki cha Magufuli.
Mbona kama vile umeuliza swali na kumalizia na jibu!? Au ndio style yako ya uwasilishaji!?
 
Baba yenu sijui uzee sijui macho yangu. Katika pita pita yangu sioni ndugu zetu wa kihindi wakimuaga jemadari shujaa wetu John Pombe Magufuli kama wanyonge au kwa vile wao si wanyonge. Si Dar, Zenj na sasa Mwanza, sioni ndugu hawa wanaosifika kufaidi uchumi wa nchi yetu japo si kwa sana kipindi hiki cha Magufuli.
Tukimaliza kuzika, tutaanza kuwashugulikia mmoja mmoja!!
 
Wahindi Wana kazi ya kufanya.
Mazezeta yanayo kanyagana Hadi kuuana kisa kushangaa maiti ya dikteta yamekosa kazi ya kufanya
Natamani ingekuwa maiti yako na ukoo wako wote ingefurahisha. Hao siyo mazezeta kama wewe baba yako mama yako na ukoo mzima mwanangu. Umeniudhi kiasi cha mwenembago kupanda nikatukana. Umefanya nitamani Mtikila aka Tikila afufuke na kuendeleza injili yake ya magabacholi.
 
Baba yenu sijui uzee sijui macho yangu. Katika pita pita yangu sioni ndugu zetu wa kihindi wakimuaga jemadari shujaa wetu John Pombe Magufuli kama wanyonge au kwa vile wao si wanyonge. Si Dar, Zenj na sasa Mwanza, sioni ndugu hawa wanaosifika kufaidi uchumi wa nchi yetu japo si kwa sana kipindi hiki cha Magufuli.
1. Yaliyo mkuta Manji.

2. Yaliyo mkuta Mo.
 
Natamani ingekuwa maiti yako na ukoo wako wote ingefurahisha. Hao siyo mazezeta kama wewe baba yako mama yako na ukoo mzima mwanangu. Umeniudhi kiasi cha mwenembago kupanda nikatukana. Umefanya nitamani Mtikila aka Tikila afufuke na kuendeleza injili yake ya magabacholi.
Ungekua na undugu na Ben Saanane, Azory, Akwilina, wale makumi walio okotwa maiti kwenye viroba, watumishi walio toa nguvu zao kwa miaka 30 kumtumikia jamii na kufukuzwa bila kulipwa mafao yao walio katwa kisa vyeti hewa nk ungejua kua huo mzoga wenu ulipaswa kutupwa mtoni baada ya kucharazwa bakora
 
wanatuibiaje? hizi ndio concept zinafanya wana siasa watuone wapumbavu.
hawa watu wamewekeza nchini kisheria, wanalipa kodi, wameajiri watanzania wengine?

halaf unasema wanatuibia how?
Wewe ni mhindi nini? Unajua walivyoletwa na muingereza kufanya kazi hiyo hadi wakajikusanyia utajiri ukiachia mbali rushwa na wizi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom