Unataka uchukue nafasi ya mke?Najiuliza tu hili swali, wanaojua watufahamishe.
Hawa watu wamekuwa wakiambatana katika shughuli nyingi, kulikoni?
Najua tu unataka kuongelea hii picha inayosambaa mitandaoni kama moto.Najiuliza tu hili swali, wanaojua watufahamishe.
Hawa watu wamekuwa wakiambatana katika shughuli nyingi, kulikoni?
Kukiss na mmewe wa mtu, ni utamaduni wa kibelgiji?Najua tu unataka kuongelea hii picha inayosambaa mitandaoni kama moto.
View attachment 2495331
Hizo ni personal issues mkuu na kila familia ina mambo yake.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Unataka uchukue nafasi ya mke?
Unaweza pia ukawa mkewe, upunguze mbambamba dadaNajiuliza tu hili swali, wanaojua watufahamishe.
Hawa watu wamekuwa wakiambatana katika shughuli nyingi, kulikoni?
Watanzania mna ushamba mwingi sana kama Mzee Meko wa Kipigo Cha Dunia!Kukiss na mmewe wa mtu, ni utamaduni wa kibelgiji?
Kwa hiyo mwamba ashamtema mkewe aliyemuhudumia kipindi chote cha maswahiba yaliyomkuta. DAHNajua tu unataka kuongelea hii picha inayosambaa mitandaoni kama moto.
View attachment 2495331
Hizo ni personal issues mkuu na kila familia ina mambo yake. Labda wana marital issues. Au mke yuko safarini...Huwezi jua ya kwenye familia za watu.
Hii hapaNajiuliza tu hili swali, wanaojua watufahamishe.
Hawa watu wamekuwa wakiambatana katika shughuli nyingi, kulikoni?
DuhNajua tu unataka kuongelea hii picha inayosambaa mitandaoni kama moto.
View attachment 2495331
Hizo ni personal issues mkuu na kila familia ina mambo yake. Labda wana marital issues. Au mke yuko safarini...Huwezi jua ya kwenye familia za watu.
Hata kama wewe ndio ungekua mkewe, kwa picha ile ya mahaba aliopiga Airport akiwa na yule mama wa kibelgiji, nina hakika usingeenda kumpokea. Usaliti unaanza katika ngazi ya chini ya familia, mtu kama huyu ukimpa mamlaka hachelewi kutuuzaNajiuliza tu hili swali, wanaojua watufahamishe.
Hawa watu wamekuwa wakiambatana katika shughuli nyingi, kulikoni?
Lakin Lisu katinga Gwanda
Wewe mbona unaacha kumhudumia mumeo kutwa kucha uko humu kuwajadili waume wa wanawake wenzako,wewe vipi?Najiuliza tu hili swali, wanaojua watufahamishe.
Hawa watu wamekuwa wakiambatana katika shughuli nyingi, kulikoni?
Mimi wala sitaki kuongezea. Lissu lengo lake ni kumg'oa Mbowe.Lakin Lisu katinga Gwanda
Is this true? Au picha duka?Najua tu unataka kuongelea hii picha inayosambaa mitandaoni kama moto.
View attachment 2495331
Hizo ni personal issues mkuu na kila familia ina mambo yake. Labda wana marital issues. Au mke yuko safarini...Huwezi jua ya kwenye familia za watu.
Kumng'oa wapi?Mimi wala sitaki kuongezea. Lissu lengo lake ni kumg'oa Mbowe.