Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 9,309
- 34,316
Hapana sina mpango huoKwani una mpango wa kuniacha?
Hapana sina mpango huoKwani una mpango wa kuniacha?
KidogoHaha uko makini
Bado ni mwanamke wanguAlikuwa...
Kwa sasa mshatemana?
Imeisha hiyo haina kukataaUkiona tu jins dem anavyo jibebisha n lazma tu utagundua Kuna mtu alikua anapigwa hela alaf manz anakazwa na mwngne
Nyie hongeni tu sisi wazee wa vitonga kazi yetu ni kusimamia kucha kinyama yani tunawaburuza kma tunawahudumia sisi
Yah niyeye nimeshakonfem naeInasemekana ndio mwenye ID mpya hiyo sasa si ndio opportunity
Sema neno mkuu!
Mkuu itoshe kusema kuna kuwa kwenye mahusiano na kuna kuachana..kila nyakati ziheshimiwe.halafu Kwani ni lazima kujua fulani na fulani wapo kwenye mahusiano au wameachana?naona ni utoto.Sema neno mkuu!
Ubarikiwe sana mtumishi!Mkuu itoshe kusema kuna kuwa kwenye mahusiano na kuna kuachana..kila nyakati ziheshimiwe.halafu Kwani ni lazima kujua fulani na fulani wapo kwenye mahusiano au wameachana?naona ni utoto.
Lakini pia kwa upande wa waliokuwa na mahusiano na wengine,si lazima na sio afya sana kuyaanika mahusiano yenu hadharani..kuna watu wengine huwa hawanaga chakufanya zaidi ya kusubiriana kuona mahusiano ya nani yanavunjika humu ndani ili wapike pilau
Amen mtumishi wa Bwana Ohoo HallelujahUbarikiwe sana mtumishi!
Aya ya mwishoMkuu itoshe kusema kuna kuwa kwenye mahusiano na kuna kuachana..kila nyakati ziheshimiwe.halafu Kwani ni lazima kujua fulani na fulani wapo kwenye mahusiano au wameachana?naona ni utoto.
Lakini pia kwa upande wa waliokuwa na mahusiano na wengine,si lazima na sio afya sana kuyaanika mahusiano yenu hadharani..kuna watu wengine huwa hawanaga chakufanya zaidi ya kusubiriana kuona mahusiano ya nani yanavunjika humu ndani ili wapike pilau
Tujifunze maana sisi wanawake ndo tuko na uphaller mwingi sana wa kuyaanika mahusiano hadharani ili yapigwe na jua😏😏Aya ya mwisho
Umempa mwongozoMbona waliachana kitambo baada ya fumanizi mkuu?
Smart alikuwa anamwaga hela kwa Mahonda kama njugu, kumbe bibie anaruka vijoti nje. hukuona mpaka uzi ulianzishwa hapa?
Tujifunze maana sisi wanawake ndo tuko na uphaller mwingi sana wa kuyaanika mahusiano hadharani ili yapigwe na jua
Wanaume wao habari hawapati wanakuzoom tu kumbe nyuma kuna wanawake wenzio kama mia hivi wanapangwa kama nyimbo za night club
Tujifunzage kunyamaza mpka pale mshindi atakapotangazwa kanisani au msikitini