78Kuku
JF-Expert Member
- Mar 31, 2021
- 562
- 754
Hahahahahaha kyomaaaWanawake wa kichaga na miguu Yao myembamba Kama spoku za baiskeli au wale ndege wanaitwa kanyaimunywa.
Hahahahahaha kyomaaaWanawake wa kichaga na miguu Yao myembamba Kama spoku za baiskeli au wale ndege wanaitwa kanyaimunywa.
Lakini kwanini nyinyi hamna viwanda? Pambaneni na nyinyi muwe na vyenu ila hiyo price gap siyo kubwa. Ila wamiliki wa hivi viwanda katika ubia sisi sindo asilimia kubwa bwashee? Sisi mbona tumeanza jenga miaka mingi sana. Kuna ex wangu nilionaga nyumbani kwao nilichoka. Watu wameishi mpk uk wana exposure toka 80s huko lakinj kwao nyumba ya tope tena vibanda. Tusisingizie utamaduni kwa kweliMatofalii ya kuchoma ni magumu asikwambie mtu. Na yanahitaji rinta ngumu .
Lakin ghorofa zinajengwa kwa matofalii ya block na zege la kutosha
Lakin hata hivyo cement,mabati,milango na vifaa vyote vya ujenzi ni juu kwa bukoba. Cement ni sh 23000 lakin bado watu wanajenga Sana vijijini kuliko huko mtwara na Tanga inapozalishwa
Matapeli kweli nyie sema tunawaonava washamba tu. Kuishi kimdananda. Udange upate hela ya kununua heinkein ni akili ama tope huku unavimba una hela ama kujitosheleza umevaa umependezaaa kumbe unadanga mwanaume mzimaPole Sana.
Ulitapeliwa Nini wew manka
Sema ukimkuta mtoto wa kichaga ana msambwanda basi unakuwa wa balaaaTatizo msambwanda na miguu kwa wachaga haina ushirikiano
Ukiishi visiwani utatongozwa na huo weupe wako wa kichaga Hadi kero.Aiseee... hivi ndo wanakitembeza hivyo? Kumbe na wao ni kada yenye waathirika wrngi eh? Ila bwana mm nikipata chance nitaishi kisiwani. Yaani nataaka nile mchemsho wa machalari na samaki akiwa bado anapumua mara mchicha wa kienyeji, sijui chinese. Yaan nitalima mbogaaaaa..... nawaoneaga raha sana aisee....
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Hii ni kweli.Sema ukimkuta mtoto wa kichaga ana msambwanda basi unakuwa wa balaaa
Ova
Afrika matapeli wa kwanza ni toka nigeria wa pili ni wahaysWachaga shikamoo kwa utapeli mko juu
Mtoto wa baba njoo nikumeri tukaishi kisiwani.Aiseee... hivi ndo wanakitembeza hivyo? Kumbe na wao ni kada yenye waathirika wrngi eh? Ila bwana mm nikipata chance nitaishi kisiwani. Yaani nataaka nile mchemsho wa machalari na samaki akiwa bado anapumua mara mchicha wa kienyeji, sijui chinese. Yaan nitalima mbogaaaaa..... nawaoneaga raha sana aisee....
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Ha ha ha nani white? Mimi mtoto wa baba weweeee...Ukiishi visiwani utatongozwa na huo weupe wako wa kichaga Hadi kero.
Wavuvu na ngono ni kitu kimoja.
ni hiyo miili mikubwa wakivaa suti wanaonekana wa maana kumbe matapeli tu full.mdanandaAfrika matapeli wa kwanza ni toka nigeria wa pili ni wahays
Wapi? Marangu? Oteee mbeee odeee odeee. Shikundi ku laaluuMtoto wa baba njoo nikumeri tukaishi kisiwani.
Unasimama Kati ya Chotara wa matapeli na majiziKwa sisi tuliochanganya uhaya na uchaga tunasimama wapi?
Amba rua? Nkiki ukundi?Wapi? Marangu? Oteee mbeee odeee odeee. Shikundi ku laaluu
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Shikundi kindo choose ku mbee..Amba rua? Nkiki ukundi?
Kichaka kya kui iki mae?
Andika kimoja kinanichanganya hicho mixa
Hahahaha kudhae mbeAndika kimoja kinanichanganya hicho mixa
Ukubwa au udogo sio hoja ndugu,tena nyie wenye ukubwa ndo mngetakiwa kutuzidi sisi wadogo maana mna rasilimali kubwa i.e ardhiKilimanjaro mkoa ni Kama wilaya ya muleba tu kwa kagera
Ndo maana nasema kagera imejenngeka zaidi. Wilaya hiz za misenyi, muleba, bukoba vijijini,na karagwe ni sawa na Kilimanjaro tatu