CHEF
JF-Expert Member
- Nov 4, 2013
- 222
- 122
Twende mbele turudi nyuma, jimbo la igalula mkoani Tabora ni jimbo ambalo limejitenga sana na kasi za maendeleo ya Rais Magufuli ,maendeleo ya Nchi na Dunia kwa ujumla, ni jimbo ambalo linachangamoto nyingi sana, na dalili za kutatua hizo changamoto zimebaki kwenye makaratasi tu ofisini.
Kusema ukweli tu jimbo la Igalula kwa sasa linahitaji kiongozi kijana machachali mwenye maono na anaeweza kuendana na kasi ya maendeleo kutokana na mabadiliko ya dunia hasa katika teknolojia.
Kuelekea uchaguzi wa 2020, nitaanza uchambuzi wa vijana ambao kama watathubutu kuchukua fomu kwa ajili ya kugombea Ubunge nahisi kabisa watafaa kuleta mabadiliko chanya na kwa haraka katika jimbo la igalula.
Natoa msisitizo kwa vijana wenye maono warudi IGALULA kulikomboa jimbo
Waruga ruga tunataka maendeleo
Kusema ukweli tu jimbo la Igalula kwa sasa linahitaji kiongozi kijana machachali mwenye maono na anaeweza kuendana na kasi ya maendeleo kutokana na mabadiliko ya dunia hasa katika teknolojia.
Kuelekea uchaguzi wa 2020, nitaanza uchambuzi wa vijana ambao kama watathubutu kuchukua fomu kwa ajili ya kugombea Ubunge nahisi kabisa watafaa kuleta mabadiliko chanya na kwa haraka katika jimbo la igalula.
Natoa msisitizo kwa vijana wenye maono warudi IGALULA kulikomboa jimbo
Waruga ruga tunataka maendeleo