Kunambi alalamika kwa Kikwete

Paparazi Muwazi

JF-Expert Member
Dec 23, 2007
310
79
Kunambi alalamika kwa Kikwete

Chief Kunambi amefanya kikao cha ndani na Kikwete nyumbani kwake Ubungo Msewe. Katika kikao hicho amemlalamikia Kikwete kuhusu kuwasau waasisi wa TANU na wapiga uhuru pamoja na wastaafu kwa ujumla. Lakini pia amemweleza Kikwete uchochezi unaofanywa na CHADEMA kwa wananchi wa eneo hilo hususani kuhusu mitambo ya Richmond ambayo haiko mbali sana na nyumbani kwake. Amemtaka Kikwete kuchukua hatua kuhusu wahusika wa Richmond kwa kuwa suala hilo limekuwa kero kwa wanachama wa CCM kila wanapopita. “Tukivaa mavazi ya chama, tukipita mitaani tunaitwa Richmond”, alisema Chifu Kunambi. Kitongoji cha Msewe ni moja ya vitongoji vyenye upinzani mkali ambapo katika uchaguzi wa 2005 kura nyingi zilikwenda kwa CHADEMA. Wadadisi wa mambo wanasema haya ni matokeo ya uchochezi unaondelea kupitia nyaraka ambazo zinasambazwa mitaani hali ambayo kama haitazibitiwa mapema inaweza kuchochea wananchi kufanya hujuma katika mitambo hiyo ya umeme.

PM
 
Kunambi alalamika kwa Kikwete

Chief Kunambi amefanya kikao cha ndani na Kikwete nyumbani kwake Ubungo Msewe. Katika kikao hicho amemlalamikia Kikwete kuhusu kuwasau waasisi wa TANU na wapiga uhuru pamoja na wastaafu kwa ujumla. Lakini pia amemweleza Kikwete uchochezi unaofanywa na CHADEMA kwa wananchi wa eneo hilo hususani kuhusu mitambo ya Richmond ambayo haiko mbali sana na nyumbani kwake. Amemtaka Kikwete kuchukua hatua kuhusu wahusika wa Richmond kwa kuwa suala hilo limekuwa kero kwa wanachama wa CCM kila wanapopita. “Tukivaa mavazi ya chama, tukipita mitaani tunaitwa Richmond”, alisema Chifu Kunambi. Kitongoji cha Msewe ni moja ya vitongoji vyenye upinzani mkali ambapo katika uchaguzi wa 2005 kura nyingi zilikwenda kwa CHADEMA. Wadadisi wa mambo wanasema haya ni matokeo ya uchochezi unaondelea kupitia nyaraka ambazo zinasambazwa mitaani hali ambayo kama haitazibitiwa mapema inaweza kuchochea wananchi kufanya hujuma katika mitambo hiyo ya umeme.

PM

Anakumbushia Pension yake huyo labda wamemsahau sana si vibaya kubwaka kidogo.....
 
Kunambi alalamika kwa Kikwete

Chief Kunambi amefanya kikao cha ndani na Kikwete nyumbani kwake Ubungo Msewe. Katika kikao hicho amemlalamikia Kikwete kuhusu kuwasau waasisi wa TANU na wapiga uhuru pamoja na wastaafu kwa ujumla. Lakini pia amemweleza Kikwete uchochezi unaofanywa na CHADEMA kwa wananchi wa eneo hilo hususani kuhusu mitambo ya Richmond ambayo haiko mbali sana na nyumbani kwake. Amemtaka Kikwete kuchukua hatua kuhusu wahusika wa Richmond kwa kuwa suala hilo limekuwa kero kwa wanachama wa CCM kila wanapopita. “Tukivaa mavazi ya chama, tukipita mitaani tunaitwa Richmond”, alisema Chifu Kunambi. Kitongoji cha Msewe ni moja ya vitongoji vyenye upinzani mkali ambapo katika uchaguzi wa 2005 kura nyingi zilikwenda kwa CHADEMA. Wadadisi wa mambo wanasema haya ni matokeo ya uchochezi unaondelea kupitia nyaraka ambazo zinasambazwa mitaani hali ambayo kama haitazibitiwa mapema inaweza kuchochea wananchi kufanya hujuma katika mitambo hiyo ya umeme.

PM

na yatendeke kama ulivyonena......
 
TATIZO LA HAWA WANAOITWA WASISI NI HILI, HAWATAKI KUTAMBUA KUWA MUDA WAO UMEISHA

ukienda zimbabwe ni hawa hawa hawtaki mabadiliko kwa kisingizio cha kuasisi

ukienda zanzibar ndo hawa hawa, tunayaenzi mapinduzi matukufu

sasa, kama afrika itakumbatia hawa watu hatutaenda mbele. ni vema kuwapuuza wao na mvi zao, hawana jipyaa

shaban robert "zamani elimu haikuwepo, mvi zilitumika kuhesabu wenye busara, lakini siku hizi elimu imekuwepo, si swala la kuhesabu busara ya mtu kwa mvi zake
 
natamani ningekuwa na uwezo nikawatia vijana hamasa, wakachukua mabomu ya petroli wakaanza na IPTL, hiyo mitambo ya richmond, na ningekuwa na uwezo zaidi wa kisayansi nikazima minara yote ya vodacom, na caspian.
 
Kunambi alalamika kwa Kikwete

Chief Kunambi amefanya kikao cha ndani na Kikwete nyumbani kwake Ubungo Msewe. Katika kikao hicho amemlalamikia Kikwete kuhusu kuwasau waasisi wa TANU na wapiga uhuru pamoja na wastaafu kwa ujumla. Lakini pia amemweleza Kikwete uchochezi unaofanywa na CHADEMA kwa wananchi wa eneo hilo hususani kuhusu mitambo ya Richmond ambayo haiko mbali sana na nyumbani kwake. Amemtaka Kikwete kuchukua hatua kuhusu wahusika wa Richmond kwa kuwa suala hilo limekuwa kero kwa wanachama wa CCM kila wanapopita. “Tukivaa mavazi ya chama, tukipita mitaani tunaitwa Richmond”, alisema Chifu Kunambi. Kitongoji cha Msewe ni moja ya vitongoji vyenye upinzani mkali ambapo katika uchaguzi wa 2005 kura nyingi zilikwenda kwa CHADEMA. Wadadisi wa mambo wanasema haya ni matokeo ya uchochezi unaondelea kupitia nyaraka ambazo zinasambazwa mitaani hali ambayo kama haitazibitiwa mapema inaweza kuchochea wananchi kufanya hujuma katika mitambo hiyo ya umeme.

PM

Duh!
Tuhuma za ufisadi zishaanza kuitwa UCHOCHEZI?
Kaazi kweli kweli.
 
Anakumbushia Pension yake huyo labda wamemsahau sana si vibaya kubwaka kidogo.....

Joto Masaka wanalionja wenzio huko mtaani...Na wewe unadai PENSION...Ama kweli siku ya kufa nyani...
Sasa na wewe hilo JOTO wezio wanalolipata huko mtaani we hulipati hapa JF?
Unatakiwa ujue kuwa si lazima watu kutoka nje wafanye mambo flani flani ama walie ndio ujue machungu ya Mtanzania.
 
Iwa wanasema tuwe tunasikiliza ushauri wa wazee lakini sometime iwa unakuwa pumba tu haufai.Sasa huyu mzee alikuwa anakumbushia pension yake.Sasa kama wanachama wa CCM wamelala kwa nn wasikejeliwe?Ukiangalia wamemchagua Keenja huyo lakini toka awe Mbunge hata sura yake hajawahi kuipeleka kwa wananchi angalau kuzuga tu.Miundo mbinu mibovu kupindukia jimbo la Ubungo.
Wanahaki kuwazomea kama Mbunge walio mchagua analala hata bungeni kwa nini wasiwakejeli?
 
Wapiganaji wa ANC waliitwa "terrorist" na makaburu, Waafrika waliwaona "heroes"

Nani mchochezi na nani ni muhamasishaji wa jamii? Inategemea na nani unamuuliza swali.

As that artical poet Macka B would have it,

"Who are the terrorists? Who are the heroes? x 2
Double Standards
 
Huko Arusha walivamia ofisi za CCM na kukomba mamilioni kibao!
Sasa mzee wa watu anaona haya mambo licha ya kwamba walipigana kwa ajili ya nchi yao lakini Mafao ya hawapewi...Sasa wananchi wanataka kuwavamia wakidhani na wao ni wanamtandao mafisadi...Unajua kwasababu mwenyekiti wao ameshasema hakuna fisadi ndani ya chama...Then wananchi watatumia ile falsafa ya...WALK LIKE A DUCK,TALK LIKE A DUCK..HELL YEAH THATS A GADDAMN DUCK!
SHOOT IT!
NO MORE INDIGNITIES AND AN UNNECCESSARY SUFFERINGS FROM THE PEOPLE...Who are actually blessed with abundants of Natural wealth from God!

Mungu huchukia kama watu wanakufa huku wao ni matajiri!
 
unaposhindwa kuonyesha uwezo wako wa kuongoza nchi kwa wananchi wako, matokeo yake ndo kama haya.
kila mwenye uwezo wa kukutisha anakutisha, mpaka vizee vitandani na watoto barabarani.

kikwete act up now, or else utatukanwa mpaka na watoto wadogo
 
rais wetu kwa kutembelea wagonjwa ,wazee na wastaafu ..namsifu..

laiti kama angeweza kuwapa wastaafu wote pension kwa wakati..wakiwamo wale wa afrika mashariki wanaoshinda geti la ikulu kila siku...ningempa kudos zaidi.....nafikiri mzee kunambi kama ametumia busara atakuwa ameomba mafao kwa wastaafu wote kwa ujumla ..maana hata wale wazee wa relwe na bandari wanalingana naye........

pia ingekuwa ziara za rais hospitali zinaleta dawa na vifaa....na kuondoa adha kwa maskini ningefurahi zaidi..

kinachoonekana wazi kwa rais wetu ni kuwa anapenda raia zake ..ila hana uwezo wala namna ya kutuvusha...sasa unajua kutupenda peke yake haitoshi..kama hana njia!!..wanasema "if wishes were horses beggars could ride..."

pia niwakumbushe usemi wa mzee mwinyi...."MASKINI HAWAPENDI WANAWE...."...akimaanisha kuwa mzazi maskini anampenda mwanawe lakini asilani ataonekana hampendi..kwa sababu hawezi kumvika nguo nzuri,zawadi nono.,chakula kinono..outing za hapa na pale...kama mtoto wa familia ya kitajiri ambaye ndio ataonekana anapendeka kwa sababu ya fahari hizo...lakini rohoni maskini anaweza kuwa aaanampenda mwanawe kuliko jirani yake tajiri.....
 
rais wetu kwa kutembelea wagonjwa ,wazee na wastaafu ..namsifu..

laiti kama angeweza kuwapa wastaafu wote pension kwa wakati..wakiwamo wale wa afrika mashariki wanaoshinda geti la ikulu kila siku...ningempa kudos zaidi.....nafikiri mzee kunambi kama ametumia busara atakuwa ameomba mafao kwa wastaafu wote kwa ujumla ..maana hata wale wazee wa relwe na bandari wanalingana naye........

pia ingekuwa ziara za rais hospitali zinaleta dawa na vifaa....na kuondoa adha kwa maskini ningefurahi zaidi..

kinachoonekana wazi kwa rais wetu ni kuwa anapenda raia zake ..ila hana uwezo wala namna ya kutuvusha...sasa unajua kutupenda peke yake haitoshi..kama hana njia!!..wanasema "if wishes were horses beggars could ride..."

pia niwakumbushe usemi wa mzee mwinyi...."MASKINI HAWAPENDI WANAWE...."...akimaanisha kuwa mzazi maskini anampenda mwanawe lakini asilani ataonekana hampendi..kwa sababu hawezi kumvika nguo nzuri,zawadi nono.,chakula kinono..outing za hapa na pale...kama mtoto wa familia ya kitajiri ambaye ndio ataonekana anapendeka kwa sababu ya fahari hizo...lakini rohoni maskini anaweza kuwa aaanampenda mwanawe kuliko jirani yake tajiri.....

Mkuu yarabi nafsi hapo Mzee Kunambi kivyake hao wastaafu wa community watajiju!
 
Back
Top Bottom