Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawajaweka kivipi mkuu,wakuu naomba nifahamu kama kunamtu ambae ameshaomba kazi katika post za NCAA Ngorongoro kama ilivyoelekezwa katika tangazo la pili baada lile la kwanza kusitishwa. wanataka maombi yapitie kwenye recruitment portal yao RECRUITMENT PORTAL ila cha ajabu Hawajaweka link ya kuapply
wakuu naomba nifahamu kama kunamtu ambae ameshaomba kazi katika post za NCAA Ngorongoro kama ilivyoelekezwa katika tangazo la pili baada lile la kwanza kusitishwa. wanataka maombi yapitie kwenye recruitment portal yao RECRUITMENT PORTAL ila cha ajabu Hawajaweka link ya kuapply
Try your luck mkuuJust a single job vacant available for Wildlife management position.
Am really tired indeed.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna sehemu ukienda kwenye attachment ukiingia unakuta imesema new attachment bonyeza apo afu choose file kisha upload, ukimaliza attach tena document ingine, usije ukajoin attachments document zote you will be disregarded kama walivosema, so attach kila moja kivyake zingatia hilo.Kama kuna aliefanikiwa kuomba anisaidia, namna ya kuattach zile document mana sion option hio
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi yote hiyo unakuta jamaa hata hawasomi!kuna mtu wao walishamteuaKuna sehemu ukienda kwenye attachment ukiingia unakuta imesema new attachment bonyeza apo afu choose file kisha upload, ukimaliza attach tena document ingine, usije ukajoin attachments document zote you will be disregarded kama walivosema, so attach kila moja kivyake zingatia hilo.
Amna penye changamoto.Kwenye kusubmit application kama kuna changamoto iv
Ndio tatizo na wala haijapita sekretariati ya ajira so full kuchaguana na wale wakijani manjano ndio wanapeana kaziKazi yote hiyo unakuta jamaa hata hawasomi!kuna mtu wao walishamteua
washakuambia ufanye verification kwenye email.
Jarbu tena alafu jamaa system yao Wala haisumbui syo Kama wale tanapa