Kuna yoyote ashawahi kufanya "Psychometric Assessment Report " na akapata kazi?

Rosicky

JF-Expert Member
Sep 21, 2015
1,159
1,944
Habarini

Kuna NGO fulani ilitoa vacancy mwezi uliopita na karibu kila forum ya ajira tangazo lilikuwepo nika apply as usual

Leo nikasema ngoja nipitie kidogo email inbox, bana bana nafungua hio email nakutana na Dear Q your among of shortlisted candidate nikaanza shangwe kama za fiesta.

Then nikatulia nikaanza kusoma upya ndo nakutana na hicho ki stage cha psychometric test, nikafadhaika kwa kuwa sikukielewa nikaenda google nikakuta kuna sehemu Dar es Salaam wanafanya nikawapigia wakasema hawafanyi hio kitu ( blow), hio NGO hata physical address haionekani (another blow ).

Kwenu Big people hivi kitu ipo kweli? Watu wanapata kweli? Ina umuhimu gani?

Je, baada ya hayo yote mnanishauri nini, nifanye nini msaada wenu tafadhari mwenye taarifa zaidi anijuze mwenye experince zaidi anisaidie.

Sorry kwa maelezo ya haraka haraka kichwa kipo site.
 
Wewe uliappy nini?

Taja na jina la NGO hapa mimi niliwahi pigwa 11000/- Tsh Unicef kizembe kabisa
 
Hata Mimi nimeona email yao, nilivoona hyo test sikujihangaisha,hata wakati na apply nilikuwa na mashaka kwelikweli,I think hao ni matapeli na kama wametumia watu 1000 lazima wapate wakuwapiga
 
Hushaambiwa hawafanyi na hiyo NGO haitambuliki... Unatafuta kutapeliwa ujue kuisumbua serikali...




Cc: mahondaw
 
Habarini

Kuna NGO fulani ilitoa vacancy mwezi uliopita na karibu kila forum ya ajira tangazo lilikuwepo nika apply as usual

Leo nikasema ngoja nipitie kidogo email inbox, bana bana nafungua hio email nakutana na Dear Q your among of shortlisted candidate nikaanza shangwe kama za fiesta.

Then nikatulia nikaanza kusoma upya ndo nakutana na hicho ki stage cha psychometric test, nikafadhaika kwa kuwa sikukielewa nikaenda google nikakuta kuna sehemu Dar es Salaam wanafanya nikawapigia wakasema hawafanyi hio kitu ( blow), hio NGO hata physical address haionekani (another blow ).

Kwenu Big people hivi kitu ipo kweli? Watu wanapata kweli? Ina umuhimu gani?

Je, baada ya hayo yote mnanishauri nini, nifanye nini msaada wenu tafadhari mwenye taarifa zaidi anijuze mwenye experince zaidi anisaidie.

Sorry kwa maelezo ya haraka haraka kichwa kipo site.
Wapigaji hao
 
Habarini

Kuna NGO fulani ilitoa vacancy mwezi uliopita na karibu kila forum ya ajira tangazo lilikuwepo nika apply as usual

Leo nikasema ngoja nipitie kidogo email inbox, bana bana nafungua hio email nakutana na Dear Q your among of shortlisted candidate nikaanza shangwe kama za fiesta.

Then nikatulia nikaanza kusoma upya ndo nakutana na hicho ki stage cha psychometric test, nikafadhaika kwa kuwa sikukielewa nikaenda google nikakuta kuna sehemu Dar es Salaam wanafanya nikawapigia wakasema hawafanyi hio kitu ( blow), hio NGO hata physical address haionekani (another blow ).

Kwenu Big people hivi kitu ipo kweli? Watu wanapata kweli? Ina umuhimu gani?

Je, baada ya hayo yote mnanishauri nini, nifanye nini msaada wenu tafadhari mwenye taarifa zaidi anijuze mwenye experince zaidi anisaidie.

Sorry kwa maelezo ya haraka haraka kichwa kipo site.
Duuuh bado wapo hadi sasa kumbe 😂😂😂
Hao hawako mbali sana ni pamoja na zile NGO zinazojidai kama Africa Initiative wapo Kenya tu hapo na Nigeria. Hiyo test kwa bongo kwa sasa hawafanyi baada ya changamoto nyingi. Ila ukiwaomba mwongozo mara nyingi kwa hao uliowatumia email watakutumia link itayokupeleka kwenye muongozo.

Kisha utaambiwa huwa wanawafanyia watu kwa gharama ya kiasi $ 270 mfano. Kisha ukiingia line ukatuma inakuja episode 2.

Waendelee kuku assess ili uendelee kutoa fungu la kumi au laah. Kumbuka ni connection tu ya watu watatu, wanne hao hao wanaojidai wanatangaza nafasi za kazi na hao hao wanaojidai wanawafanyia watu hiyo test ila ipo Kenya kwa wewe unaweza ukadhani wanaotoa huduma ni mashirika mawili tofauti.

Mara nyingi matangazo yao hawaweki anuani ya posta, coz ni mobile office ( ofisi inayohamishika a.k.a laptop)😂😂😂
 
Focus Africa hao hata mimi wamenitumia.
Pambafuuuuuu....Jf for life. I got the same email as well. And wanakupa na link ya kampuni za kufanyia..na rate ni madolar. Mbaya zaidi ukitafuta website ya Focus Africa yenyewe haieleweki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom