Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,586
- 3,935
Huyu bwana nabii anaitwa david Stefano Mpanji ana unguruma sana huko Mbeya na anapigwa sana vita na watumishi wengi wa mungu huku na yeye akiwa ni mrusha madongo mzuri kwa wenzake.
Kanisa lake linaitwa GMCL pia ana radio ambayo pia inaitwa GMCL ambako huko ndio hubwabwaja sana na si kumhubiri kristo kama ambavyo tunategemea na hata lugha zake sio kama za kilokole kama tulivyozoea bali ni za kibabebabe.
Kanisa lake ni la miujiza miujiza ya ajabu ajabu pia yeye ni Muuza maji na mafuta kwa waumini wake ambapo uwa anasisitiza kuna uponyaji kwenye hayo maji na mafuta yake.
Kuna yeyote ana historia ya huyu bwana au ana mfahamu vizuri. Ninajua JF ina watu wengi na inafika mbali mno najua hawakosekani watu wanaomfahamu Huyu jamaa.
Kanisa lake linaitwa GMCL pia ana radio ambayo pia inaitwa GMCL ambako huko ndio hubwabwaja sana na si kumhubiri kristo kama ambavyo tunategemea na hata lugha zake sio kama za kilokole kama tulivyozoea bali ni za kibabebabe.
Kanisa lake ni la miujiza miujiza ya ajabu ajabu pia yeye ni Muuza maji na mafuta kwa waumini wake ambapo uwa anasisitiza kuna uponyaji kwenye hayo maji na mafuta yake.
Kuna yeyote ana historia ya huyu bwana au ana mfahamu vizuri. Ninajua JF ina watu wengi na inafika mbali mno najua hawakosekani watu wanaomfahamu Huyu jamaa.