Huyo ni fundi wa magari ndo alifanya huo mchezoKweli bro ni zaidi ya wizi ule ni uharibifu kwa kweli sio vizuri kabisa zile mambo
Itakuwa walimpulizia kaputi kwanza kutoka dirishani! ....Halafu upite mahali ukute mwizi anatiwa Kiberiti uone Huruma??Duuuh Jamaa mzembe sana ,hadi wanafungua matairi yaani amelala? Au walimpiga gesi ya chlorine?
Eeeh eeh pale lumumba wote wale ni majambazi, walishaniibia logo ya gari kwenye ule mfuniko wa engine, mfuniko wa windshield siku nimeenda kuweka tinthata wale vijana wa lumumba pale wanaonekana wezi kuna siku nimeenda kupiga ribiti gari yangu wakawa wanauliza naishi wapi nikajua wanataka kuchora ramani nikawatajia pa uongo
...Na unaweza pia Ukakuta ni hao hao Wana Usalama!Aisee yani kama kule Mbezi Makabe wanachukua kila siku kama vya kwao,Polisi wa kule wamelala kuna Mtaa wanaita Kwa Mjumbe Minja sijui jirani na kwa Paulo ndugu yangu anaishi kule nilienda kumsalimia Mtaa mzima karibu nyumba 13 wameibiwa ndani ya mwezi mmoja wengine wameibiwa hadi mara 3 na wakitoa taarifa Polisi hawapati msaada wowote nadhani wanashirikiana nao.
Pole sana mkuu. Dawa ni 'mguu wa kuku' tu.Habari wana JF
Kuna wizi mpya wa vifaa vya magari naona umekithiri sana huko maeneo ya Goba, Mbezi, Temeke watu wanaibiwa sana vifaa naomba Ma RC , POLISI N.K walishugulikie hili swala wezi wanajulikana n wanaonunua hivo vifaa vya wizi wanajulikanaa.
View attachment 1757830
Huna akili timamu. Wewe ni punguwwani.Huu Sio Wizi wa Kawaida, Mwizi Lazima atakua na Ugomvi na Mwenye Mali
Ndo tabia ya binadamu. Hana shukrani wala wema. Hajui anachokitaka. Mlimponda hana sifa kuwa RC, hana elimu, vyeti fake. Mkamwita daud bashite. Lakini wachache walimwona ni msaada. Leo mnamkumbuka!Huyu Kunenge naona hana amsha amsha, huu mji unataka mtu ujitoe fahamu kama vioe Makonda, la sivyo utabaki kulaumiwa kwa kutochukua hatua. Kunenge chukua hatua.
Hapo lazima mwamba alipigwa telo...Duuuh Jamaa mzembe sana ,hadi wanafungua matairi yaani amelala? Au walimpiga gesi ya chlorine?
Kwa Paulo ndio ile mitaa karibia na mnara wa simu sijui Voda ile?Aisee yani kama kule Mbezi Makabe wanachukua kila siku kama vya kwao,Polisi wa kule wamelala kuna Mtaa wanaita Kwa Mjumbe Minja sijui jirani na kwa Paulo ndugu yangu anaishi kule nilienda kumsalimia Mtaa mzima karibu nyumba 13 wameibiwa ndani ya mwezi mmoja wengine wameibiwa hadi mara 3 na wakitoa taarifa Polisi hawapati msaada wowote nadhani wanashirikiana nao.
Hapo lazima mwamba alipigwa telo...
Itakuwa walimpulizia kaputi kwanza kutoka dirishani! ....Halafu upite mahali ukute mwizi anatiwa Kiberiti uone Huruma??
Kama mnamjua mnashindwa vipi kumuua? Watu dhaifu kabisaMwezi jana alitambulika mwizi aliye vunja Duka na kuiba maeneo ya Madale kituo kipya cha polisi mwizi alikutwa na sare za polisi na jeshi nyumbani kwake Mwizi ajulikanae kwa jina la ACHIMWELE ! Amesumbua sana Madale ila muda mfupi polisi wa kituo hicho walimuachia! Kwaiyo sio suala la wenye viti tu ata polisi wasio waminifu wana walinda!
Ombi wahusika wafuatilie kituoni hapo
Ukiwa unamiliki gari ni vyema uwe na watu wako kwa kila unachohitaji sio kila mtu kumkabidhi gari yako...Eeeh eeh pale lumumba wote wale ni majambazi, walishaniibia logo ya gari kwenye ule mfuniko wa engine, mfuniko wa windshield wa siku nimeenda kuweka tint
Tyre zinafunguliwa zote ndani ya dk 10 tuKabisa lazima alipuliziwa dawa ya usingizi....Kikawaida lazima wangestuka tu ,kufungua tyre sio kazi ndogo.