TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,731
- 21,133
Huku mtaani kuna wizi umetokea, mbiu imepigwa na mwizi alikuwa anakimbia, watu wenye ghadhabu walitoka nje lakini hawakumfukuza wala kumzuia mwizi aliyekuwa anapita katikati yao.
Mwizi ameacha kukimbia, ameamua kutembea huku akigawa bakshishi vitu alivyoiba kwa wapita njia na wanaoshangaa.
Ajabu, wanaotuhabarisha juu ya tukio hilo wameacha kuliita tukio hilo wizi – wanatuambia eti, HAKUNA MKATE MGUMU KWA CHAI! Habari hii imechangamsha baraza zote leo - jamii ya ajabu!
Mwizi ameacha kukimbia, ameamua kutembea huku akigawa bakshishi vitu alivyoiba kwa wapita njia na wanaoshangaa.
Ajabu, wanaotuhabarisha juu ya tukio hilo wameacha kuliita tukio hilo wizi – wanatuambia eti, HAKUNA MKATE MGUMU KWA CHAI! Habari hii imechangamsha baraza zote leo - jamii ya ajabu!