Fred Mwakitundu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 227
- 383
Kuna wajanja wamepiga pesa ya kutosha katika Hospital ya Rufaa ya KCMC mjini Moshi lakini uongozi wa Hospital hiyo umefanya siri bila kujua katika ulimwengu huu hakuna siri tena.
Wajanja hawa ndani ya miezi miwili tu(desemba 2019 na Januari 2020) wamepiga sh,Milioni 57 kupitia fedha zinazopatikana kutoka kwa wagonjwa wanaotibiwa hospitalini hapo wizi unaowahusisha watumishi ndani ya Hopsital hiyo na wakala wa Fahari CRDB waliopewa jukumu la kukusanya malipo hayo na KCMC.
Unataka kuwafahamu waliopiga pesa hizo kwa majina?,tulia,kaa mkao wa kula narudi muda si mrefu