GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,454
- 108,565
Sijui ni nani amewafundisha hii mbinu ya Kibiashara inayokera na ‘ sometimes ‘ kutudhalilisha sana Sisi Wanaume ‘ Choka Mbaya ‘ au ‘ Apeche Alolo ‘ pale unakuta umemdaka Demu halafu ukaamua tu kwenda nae Kuzuga katika Baa iliyopo jirani halafu unaona wale Wamachinga wauza Nguo za Kike wanaanza Kufurika kuja Kwako huku wakimringishia zile Nguo huyo Demu ili anunue au Mimi nimnunulie wakati huo na Mimi mfukoni nina Nauli tu ya Kondakta na kunirudisha Bunju kama siyo Mbweni.
Sasa haya Mamachinga yanavyoudhi na kukera unaweza ukamtonya kwa Kumbinya Mguuni kuwa auchune asepe zake kwani huna Hela au ukamminyie Jicho Kishkaji kuwa ondoka unaniumbua kwa huyu Demu na lenyewe sasa ndiyo Kwanza linaanza Kuchomoa kwa Makusudi zile Nguo nzuri nzuri ili kuzidi Kumtamanisha Demu wako ananunue au nimnunulie.
Kuna Mijitu mingine ni ‘ Nuksi ‘ kweli hapa duniani na kama Tanzania tungekuwa tunaruhusiwa Kumiliki Silaha kama nchi zingine kuna Uwezekano aina hii ya Wamachinga wenye Makusudi na Kupenda Kutuchoresha Sisi Wanaume ‘ Hamna Kitu ‘ wangekuwa hawapo kabisa ila Makaburi yao ndiyo yakawa ni mengi mno hasa hapa Dar es Salaam.
Wewe mwenye Baa hapo maeneo ya Kurasini samahani kwa nilichokifanya kwa huyo Mmachinga Muuza Nguo ila najua huo utakuwa ni mfano tosha kwa Wamachinga wengine wenye aina hiyo ya ' Upuuzi ' kwani alikuwa anataka Kunipeperushia Demu na Kuniumbua Kwake kwa ' Kunichoresha ' Kwake na kweli Demu mwenyewe nae akaondoka hivyo nikaona isiwe jinsi nami Hasira zangu zote nizimalizie Kwake.
Halafu tokea mpewe hivyo Vitambulisho vyenu na Baba yenu Kikatiba ndiyo mmekuwa na Kiburi na Jeuri sana ila mtanyooshwa tu ' Kudadadeki ' zenu. Hali yenyewe ya Hewa hii mnaiona jinsi ilivyo ya Kinyegezi Nyegezi halafu Watu tunataka ' Kuseti Mingo ' za kuja Kuzibandua ' Maghettoni ' mwetu Usiku ili twende sawa na Watu wa TMA ( Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania ) mnakuja kutuharibia mipango yetu yote. Mnakera kweli!
Nawasilisha.
Sasa haya Mamachinga yanavyoudhi na kukera unaweza ukamtonya kwa Kumbinya Mguuni kuwa auchune asepe zake kwani huna Hela au ukamminyie Jicho Kishkaji kuwa ondoka unaniumbua kwa huyu Demu na lenyewe sasa ndiyo Kwanza linaanza Kuchomoa kwa Makusudi zile Nguo nzuri nzuri ili kuzidi Kumtamanisha Demu wako ananunue au nimnunulie.
Kuna Mijitu mingine ni ‘ Nuksi ‘ kweli hapa duniani na kama Tanzania tungekuwa tunaruhusiwa Kumiliki Silaha kama nchi zingine kuna Uwezekano aina hii ya Wamachinga wenye Makusudi na Kupenda Kutuchoresha Sisi Wanaume ‘ Hamna Kitu ‘ wangekuwa hawapo kabisa ila Makaburi yao ndiyo yakawa ni mengi mno hasa hapa Dar es Salaam.
Wewe mwenye Baa hapo maeneo ya Kurasini samahani kwa nilichokifanya kwa huyo Mmachinga Muuza Nguo ila najua huo utakuwa ni mfano tosha kwa Wamachinga wengine wenye aina hiyo ya ' Upuuzi ' kwani alikuwa anataka Kunipeperushia Demu na Kuniumbua Kwake kwa ' Kunichoresha ' Kwake na kweli Demu mwenyewe nae akaondoka hivyo nikaona isiwe jinsi nami Hasira zangu zote nizimalizie Kwake.
Halafu tokea mpewe hivyo Vitambulisho vyenu na Baba yenu Kikatiba ndiyo mmekuwa na Kiburi na Jeuri sana ila mtanyooshwa tu ' Kudadadeki ' zenu. Hali yenyewe ya Hewa hii mnaiona jinsi ilivyo ya Kinyegezi Nyegezi halafu Watu tunataka ' Kuseti Mingo ' za kuja Kuzibandua ' Maghettoni ' mwetu Usiku ili twende sawa na Watu wa TMA ( Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania ) mnakuja kutuharibia mipango yetu yote. Mnakera kweli!
Nawasilisha.