Nimeshindwa kuelewa ni bahati mbaya au ni kwa makusudi, nilikuwa najaribu kusoma tukio furani
nimefungua zaidi ya mara tano napata message hii hapo kwenye picha
sina lengo la kugombanisha/ kuaribu au kuchonganisha lakini hii ni hatari kwa watumiji wa mitandoa,
mimi sio mtaalamu sana wa mambo haya lakini ka pc kangu kana kinga wakuu, hii inatuambia nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.