eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,227
- 16,178
Kila kitu huwa kina majira yake, kila jambo duniani lina wakati wake :
Kuna wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa,
Wakati wa kupanda na wakati wa kuvuna kilichopandwa,
Wakati wa kuua na wakati wa kuponya
Wakati wa kubomoa na wakati wa kujenga
Wakati wa kulia na wakati wa kucheka
Wakati wa kuomboleza na wakati wa kucheza
Wakati wa kutupa mawe na wakati wa kuyakusanya
Wakati wa kukumbatia na wakati wa kuacha kukumbatia
Wakati wa kutafuta na wakati wa kupoteza
Wakati wa kuhifadhi na wakati wa kutupa
Wakati wa kurarua na wakati wa kushona
Wakati wa kukaa kimya na wakati wa kuongea
Wakati wa kupenda na wakati wa kuchukia
Wakati wa vita na wakati wa amani
Usije ukafikiri kinachokutokea ni kwa bahati mbaya iwe furaha iwe huzuni yote ni mipango ya Mungu
Furaha yako inaweza kugeuka kuwa huzuni na huzuni yako kuwa furaha
Yote ni Mungu anakupangia
Muhimu ni kuendelea kuomba kwa alie juu juu kabisa
Kuna wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa,
Wakati wa kupanda na wakati wa kuvuna kilichopandwa,
Wakati wa kuua na wakati wa kuponya
Wakati wa kubomoa na wakati wa kujenga
Wakati wa kulia na wakati wa kucheka
Wakati wa kuomboleza na wakati wa kucheza
Wakati wa kutupa mawe na wakati wa kuyakusanya
Wakati wa kukumbatia na wakati wa kuacha kukumbatia
Wakati wa kutafuta na wakati wa kupoteza
Wakati wa kuhifadhi na wakati wa kutupa
Wakati wa kurarua na wakati wa kushona
Wakati wa kukaa kimya na wakati wa kuongea
Wakati wa kupenda na wakati wa kuchukia
Wakati wa vita na wakati wa amani
Usije ukafikiri kinachokutokea ni kwa bahati mbaya iwe furaha iwe huzuni yote ni mipango ya Mungu
Furaha yako inaweza kugeuka kuwa huzuni na huzuni yako kuwa furaha
Yote ni Mungu anakupangia
Muhimu ni kuendelea kuomba kwa alie juu juu kabisa