100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 3,596
- 12,019
Kuwa na bafu ya milioni 50 au zaidi ujue net worth yako ni zaidi ya 1B, tatizo ukifika hizo level huwezi enjoy tena 75'' tv yenye 8K na juice ya tende, watakao enjoy ni ndugu na watoto.
Haya maisha huwa tunafikiri ukifika level fulani utapata furaha lakini si kweli, utafika hadi hatua ya kumiliki private jet, lakini utaona nikiwa raisi nitafurahi zaidi.
Haya maisha huwa tunafikiri ukifika level fulani utapata furaha lakini si kweli, utafika hadi hatua ya kumiliki private jet, lakini utaona nikiwa raisi nitafurahi zaidi.