Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,703
- 8,481
Hivi ww jamaa unaishi dunia gani ambayo kila mwanamke ni mzuri..
Tupeleke basi
Tupeleke basi
Hivi ww jamaa unaishi dunia gani ambayo kila mwanamke ni mzuri..
Tupeleke basi
hapo ndo ulipotea kabisaa...kumbe unatafuta malaya wenye elimu na kipato...nikadhani kwenye nyumba za ibada banaKuhusu mim kutafta madem bar na club si kwel.wale huwa ni kupiga tu na kuacha.mi madem zangu weng niliwatoa chuon na sehem za kaz ila sjawai meet wa namna hii
Mi wa kishua mkuu
Kwanza dada akisalimia lazima akupe mkono na abonyee kidogo yaan imagine dem mkali zaid ya jokate anafanya hvyo..Angalia tu usije mpenda mke wa jamaa..Ila ungetuhadithia kidgo mifano ya ukarimu wake tujifunze.
She is so sweet...ndoa yao naizidi kubarikiwa.Kwanza dada akisalimia lazima akupe mkono na abonyee kidogo yaan imagine dem mkali zaid ya jokate anafanya hvyo..
Ongea yake tu si ile ya kwamba mgen kaja bas aachwe.yan anakuchangamkia had unashangaa...
Alitengeneza breakfast ya ajabu yan.yaan aliacha kaz zake akaenda tengeneza.na dada wa kaz yupo hapo...sasa unaambiwa ndugu wa jamaa wakijaga home pale inakua kama sherehe...imagine mama mkwe wake anampigia simu wanaongea as if ni mama yake mzaz...na mengne meng
Ana mjali mwana vbaya mno.mwana sasa hiv hana ajira. Ila dem anasimamia show zote. Na hajawai lalamika toka mwana kibarua kiote nyasi...
Dem mkarimu balaa..yaan una imagine dem mkal kama yule anakua hvyo huamin yan
Na hafany hayo kwangu tu ni kwa wagen wote wanaokuja pale
Kama na mambo mengine yasiyoonekana yuko hivihivi..basi huyu ni mke ambaye kila Mwanaume bora atataka kuwa nayeKwanza dada akisalimia lazima akupe mkono na abonyee kidogo yaan imagine dem mkali zaid ya jokate anafanya hvyo..
Ongea yake tu si ile ya kwamba mgen kaja bas aachwe.yan anakuchangamkia had unashangaa...
Alitengeneza breakfast ya ajabu yan.yaan aliacha kaz zake akaenda tengeneza.na dada wa kaz yupo hapo...sasa unaambiwa ndugu wa jamaa wakijaga home pale inakua kama sherehe...imagine mama mkwe wake anampigia simu wanaongea as if ni mama yake mzaz...na mengne meng
Ana mjali mwana vbaya mno.mwana sasa hiv hana ajira. Ila dem anasimamia show zote. Na hajawai lalamika toka mwana kibarua kiote nyasi...
Dem mkarimu balaa..yaan una imagine dem mkal kama yule anakua hvyo huamin yan
Na hafany hayo kwangu tu ni kwa wagen wote wanaokuja pale
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂......dah...imeniuma sana..sio kuuma kwa ubaya yaani kuuma kwamba y had umr huu sijawahi meet mwanamke kama yule
Uzi tayar
Afu ukitulia unapata gume gume linakulazimisha urudi kutanga tanga...yaani mi naona bora nitange tange tu na njiaNiko radhi kubadilika mkuu. Nmechoka maisha ya kihuni..ujue watu kama sis ambao tumetangatanga sana tukitulia huwa tunatulia kwel
Kina nani hao?Wife material wamebaki wawili tu mkuu...imekula kwako
Ondoa kipengele cha CHURA utapata wife material nyingi tu mtaani
Hongera mkuu.Huyu mshikaji yuko kama Mimi nami nina mke mkarimu mcheshi na mchapakazi na mwenye kujishimu nimezaa naye watoto wawili nikimwangalia simmalizi na moyo wangu unafurahi sana wakati wote ninapokuwa naye.
Usihushe chura na vitu vya ajabuOndoa kipengele cha CHURA utapata wife material nyingi tu mtaani
🤣 🤣 🤣 I see. JF inogileOndoa kipengele cha CHURA utapata wife material nyingi tu mtaani