Mwanzi1
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 6,000
- 4,586
Mpaka sasa hakuna taarifa yoyote kama kuna uwezekano wa CCM kukaa meza moja na CDM kutafuta usuluhishi, kwanza lazima utambuwe kosa liko wapi ndio upange nini kinachotakiwa kujadiliwa.
Tukirudi kwenye kichwa cha habari, chembe chembe zilizojionyesha jana za kupeaa mikono kati ya viongozi wa CDM na Rais Magufuli, zimeleta hamasa kwa upande mmoja na huzunu kwa kwa upande mwingine. Na ni dalili tosha kwamba mahafahali wawili wakigombana, kuna watu wengine wanatumia huo mwanaya kujengea himaya yao. Uwezekano wa kuharibika yale yote walio jipangia na kutararia ni mkubwa sana na watatumia kila mbunu kukwita wewe mjinga na hujuwi unalolifanya. Mwl. Nyerere alituhasa, kadri tunavyojitahidi kwenda mbele tutasikia kelele nyingi sana zikituzomea ...wajinga hao…..
Chadema ilipofikia sasa, haina uwezo wa kukimbizana na Magufuli na kufanikiwa kumpita. Ajenda nyingi walizokuwa wanazipigania na ambazo ndio ilikuwa misingi yao ya kutaka kuingia madarakani, Rais Magufuli amezibeba zote. Chadema walitaka mabadiliko ya sera (policy change) ili kumlinda na kumjengea mazingira mazuri mfanyabiashara mkubwa na mdogo. Yote hayo Rais magufuili anayapitia kwa kasi ya ajabu. Leo hii unweza kufunguwa biashara au kujenga kiwanda bila bugudha ya rushwa au usumbufu wa kuchelewesha vibali.
Nchi zinazofuata mfumo wa vyama vingi na wana demokrasia iliyokomaa, vyama vinashirikiana kwa karibu sana hasa kwenye mambo ya kitaifa. Kwa lugha ya kiingereza wanasema Cross-Party Agreement au Cross Party politics. Huwezi kujiita wewe ni mwanademokrasia kama unashindwa hata kukaa meza moja na mwanasiasa mwenzako kuamua jambo linalohusu nchi.
Sitaki kufukuwa makaburi na kuangalia nini kilitokea katika kipindi cha miaka minne iliyopita, lakini nikiagalia wale wote waliokuwa wanafoka na kutoa maneno ya matusi na kumkejeli Rais Magufuli mpaka wemgine wanaenda nje ya nchi na kutoa taarifa za uwongo, picha ya jana Mwanza itakuwa imewaumuza sana, tena kupita kiasi.
Tukirudi kwenye kichwa cha habari, chembe chembe zilizojionyesha jana za kupeaa mikono kati ya viongozi wa CDM na Rais Magufuli, zimeleta hamasa kwa upande mmoja na huzunu kwa kwa upande mwingine. Na ni dalili tosha kwamba mahafahali wawili wakigombana, kuna watu wengine wanatumia huo mwanaya kujengea himaya yao. Uwezekano wa kuharibika yale yote walio jipangia na kutararia ni mkubwa sana na watatumia kila mbunu kukwita wewe mjinga na hujuwi unalolifanya. Mwl. Nyerere alituhasa, kadri tunavyojitahidi kwenda mbele tutasikia kelele nyingi sana zikituzomea ...wajinga hao…..
Chadema ilipofikia sasa, haina uwezo wa kukimbizana na Magufuli na kufanikiwa kumpita. Ajenda nyingi walizokuwa wanazipigania na ambazo ndio ilikuwa misingi yao ya kutaka kuingia madarakani, Rais Magufuli amezibeba zote. Chadema walitaka mabadiliko ya sera (policy change) ili kumlinda na kumjengea mazingira mazuri mfanyabiashara mkubwa na mdogo. Yote hayo Rais magufuili anayapitia kwa kasi ya ajabu. Leo hii unweza kufunguwa biashara au kujenga kiwanda bila bugudha ya rushwa au usumbufu wa kuchelewesha vibali.
Nchi zinazofuata mfumo wa vyama vingi na wana demokrasia iliyokomaa, vyama vinashirikiana kwa karibu sana hasa kwenye mambo ya kitaifa. Kwa lugha ya kiingereza wanasema Cross-Party Agreement au Cross Party politics. Huwezi kujiita wewe ni mwanademokrasia kama unashindwa hata kukaa meza moja na mwanasiasa mwenzako kuamua jambo linalohusu nchi.
Sitaki kufukuwa makaburi na kuangalia nini kilitokea katika kipindi cha miaka minne iliyopita, lakini nikiagalia wale wote waliokuwa wanafoka na kutoa maneno ya matusi na kumkejeli Rais Magufuli mpaka wemgine wanaenda nje ya nchi na kutoa taarifa za uwongo, picha ya jana Mwanza itakuwa imewaumuza sana, tena kupita kiasi.