Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,515
- 6,489
Duh, kwa hiyo huyu Jaji Mkude baadaye alikubali uteuzi! Je wakati anakataa ujaji alikuwa na shughuli gani?Marehemu Jaji Mkude alikataa uteuzi wa kuwa Jaji wa mahakama kuu zaidi ya mara mbili, na sababu kuu ilikuwa afya ya wazazi wake ilihitaji uangalizi wake wa karibu sana, asingeweza kutimiza majukumu makubwa ya nafasi ya ujaji katika hali ile.