ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 8,034
- 2,917
- Thread starter
- #41
Yule ambaye hana siri?!
Kama una joto utaiva hivi karibuni
Hivi inawezekana tatizo likawa nini? Aisee mi najisikia ovyo nikilamba asali, nahisi kama kuzimia Fulani hiviBob na mimi asali inanisumbua najisikia ovyo sana nikilamba japo napenda but siwezi kutumia naona tuna shida zinafanana
Yaan wa barid wewMi pia najiulizaga hilo swal. Cz mwili wangu mi ni wa baridi, adi najiogopa yan. Shingo tu ndo yamoto. Na nikiwa period ndo mwil unakua wamoto kidogo. Asa sijui ni tatizo jmn?
tena kubwa si dogo....mbaya zaidi na maeneo yawe bwawa halafu barudi weee unaweza hisi umeingiza kwenye friza
Hivi inawezekana tatizo likawa nini? Aisee mi najisikia ovyo nikilamba asali, nahisi kama kuzimia Fulani hivi