Ha ha ha....Ila mama j kama hajakuweka kwenye chungu sijui...
Watu wengi wanatafutaga mchepuko ili kupunguza stress za ndoa
Ila wewe mchepuko ndo anakupa stress
Hahahah kuwa makini asije akakuvuruga mpaka siku ukaomba ushauri kwa wife
Unajitesa maana mke unaeNajitesa au mamaJ ananitesa?
Huyu mwanamke Kichwa maji Sana.
VizuriIkifikiaga hapo kwenye "Usinitafute Tena na Namba Yangu Ufute" huwa nashikwa na hasira sana, then ndiyo sikutafuti tenaaa hata ufanyeje, yani from that moment sikujibu na namba sifuti na naendelea kuview status zake vizuri tuu 🤣🤣
View attachment 2353473
Nami nafikiria kumfanyia hivyo hivyo mkuuIkifikiaga hapo kwenye "Usinitafute Tena na Namba Yangu Ufute" huwa nashikwa na hasira sana, then ndiyo sikutafuti tenaaa hata ufanyeje, yani from that moment sikujibu na namba sifuti na naendelea kuview status zake vizuri tuu
View attachment 2353473
Jamaa sometimes anazingua alafu Cha ajabu anasema mke wake yupo poa sana kwanini ujitese kote huku wakati una mke mzuri eti kwasababu ya mbususu si ujinga Huu watu kama hawa ndio maana wake zao wanagongewa wanashindwa kuwa karibu na wake zao muda huo vijana wa ovyo wanatumia huo mwanya kuwala wake zao vip Antonnia, Beesmom na Kelsea mnasemaje kwenye hiliIla watu mnacchezea ela jamani duh.
Alafu hivi bar kama mimi sijaagiza nawezaje kulipishwa?
Hivi huo uswahili wa kugawa nyama kwa plate mtu anaupataje?
Kemea hiyo tabia kwa huyo mchepuko maana atakuaibisha siku uko na wat mnaheshimiana
La mwisho kila ukienda bar na huyo soo called mama j
Mchukulie kukuchoma mixa mbuzi na ndizi/chips mkeo na watoto wako.
KILA UKIENDA utanishukuru baadae
Ukipigwa changamoto mama j atakimbia hata umkabidhi Atm....kwa sasa ila letsay umelala kitandani uwezi kuzichanga
Watoto na mkeo ndo watapambania kombe
So usispend ela nyingi hivyo nje
200k+ in a day??
Samahani kama nimekukera
Huyo mambo yake tumuachie mwenyewe tu mkuu!Jamaa sometimes anazingua alafu Cha ajabu anasema mke wake yupo poa sana kwanini ujitese kote huku wakati una mke mzuri eti kwasababu ya mbususu si ujinga Huu watu kama hawa ndio maana wake zao wanagongewa wanashindwa kuwa karibu na wake zao muda huo vijana wa ovyo wanatumia huo mwanya kuwala wake zao vip Antonnia, Beesmom na Kelsea mnasemaje kwenye hili
Mwanamke Malaya Ni Malaya TU,Jamaa sometimes anazingua alafu Cha ajabu anasema mke wake yupo poa sana kwanini ujitese kote huku wakati una mke mzuri eti kwasababu ya mbususu si ujinga Huu watu kama hawa ndio maana wake zao wanagongewa wanashindwa kuwa karibu na wake zao muda huo vijana wa ovyo wanatumia huo mwanya kuwala wake zao vip Antonnia, Beesmom na Kelsea mnasemaje kwenye hili
Uzuri kaamua Mwenyewe kwa hiyo tumuache yakimshinda atajiengua.Jamaa sometimes anazingua alafu Cha ajabu anasema mke wake yupo poa sana kwanini ujitese kote huku wakati una mke mzuri eti kwasababu ya mbususu si ujinga Huu watu kama hawa ndio maana wake zao wanagongewa wanashindwa kuwa karibu na wake zao muda huo vijana wa ovyo wanatumia huo mwanya kuwala wake zao vip Antonnia, Beesmom na Kelsea mnasemaje kwenye hili
Mkuu,Unaishi maisha magumu sana mkuu, anyway kila mtu ana udhaifu wake, huu nao ni udhaifu wako mkubwa tu.
Ukiwa na mke ndani unaweza kuacha mwanamke mwingine yoyote at any time T bila hata kuambiana "bye"!