kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,182
- 12,286
Wewe u qfuga paka jike ukitegemea nini?Ni njaa tu mkuu,miaka fulani nikiwa kijana nilifuga paka.
Akawa mkubwa haswa na kanenepa sana kwa ajili ya lishe.
Yule paka aligeuka sana badae ikawa kero.
Kwanza hakai ndani, ye ni kupigwa miti tu nje huko.
Ikawa kero.
Siku kafungua friji kala samaki woote.
(Sijui alihonga)
Hapo sina plan ingine ya msosi.
E bana siku hiyo nikapanga mauaji.
Karudi jioni hivi zile hasira nimemkuta jikoni nikafunga mlango nikarudi na gongo.
Kama la kuchezea golf
Hiyo mechi humo ndani
Ilikua balaa.
Nilimkosakosa na ye alinikosa kunitoboa macho mpaka nikafungua mlango mwenyewe akakimbia kutoka hakurudi tena.
Sijawahi kupenda paka tena