Mkuu nani kukufundisha matusi hivyo?You are the most idiot in this forum! Inakuwaje una-share video ya ukatili? Ungeeleza tu bila kuweka clip isingeeleweka?
MahandowHatari sana...
Alivyomtesa hivyo ndio vifaranga vimerudi? Kwani angepiga rungu moja akafa isingetosha?Unaongea hayajakukuta. Fikiria na hali ngumu hii umekopa hela sehemu ukaamua kiingiza vifaranga vyako vya kuku wa broila ili baada ya mwezi wakupe faida na upunguze deni na ukizingatia bei ya vifaranga iko juu halafu unatoka zako mizunguko unakuta paka kama huyo kala vifaranga wako.
Usilaumu tu kwa kila unachoona vaa uhusika wa huyo mchaga. Haya Mapaka yasiofungwa yanasumbua sana.
Kwamm niliyewahi kupatwa na usumbufu wa Mapaka haya nampongeza jamaa alichokifanya
🤣🤣hawa wadudu hamuwajui nyinyi,usione hawaishi na msela ukadhani ni bahati mbaya.wanajua.
enzi hizo niko kijijini huko,imechinjwa kuku ikaungwa rost imeliwa robo mchana,inatakiwa iliwe na usiku na kesho yake maana tulibaki watoto 3 tu,wazazi waliondoka mchana huo kwenda seminar mjini.
huwa kuna meza kubwa sana iko nyuma ya nyumba,hiyo tunaweka vyombo na vifaa vingine vya chakula na hata mboga sometime,siku hiyo kwa kuogopa paka hatukuweka sehemu nyingine yoyote isipokuwa sufuria husika iliwekwa juu ya hiyo meza,kisha ikafunikiwa ndoo kubwa juu ya ndoo ikawekwa tofali ya block.
tukaenda kisimani kuchota maji.
wakati tunarudi tunashangaa kwa mbaaali kuna kama kuku wanakimbizana kunyang'anyana vitu,kumbe wamegawana nyama ya kuku aliyechinjwa,kuku nao tulikuwa nao kama 130 hivi wa kienyeji,kucheki ndoo juu ya meza iko chini,tukajua hapa tayari tumeshapigwa.
kufika pale paka tuliyekuwa tunamfuga,analamba mchuzi chini na wanaye kujipongeza kwa kazi aliyoifanya huku matumbo yanakaribia kugusa chini,kwa hasira nilipiga mmoja shuti hakuinuka na roho zake 7.
wengine walitawanyika mbiooo.
Anakera mkuu. Anataka kuonyesha kuwa kabila fulani lina watu makatili kuliko makabila mengine. Kulikuwa na haja gani ya kutaja kabila? Na mbaya zaidi anasema wenye wenza wa kichaga wawe na tahadhari. Kuna uhusiano gani kati ya mchoma paka kuwa katili na wachaga wengine? Pia ana-share tena huo ukatili anaolaaniMkuu nani kukufundisha matusi hivyo?
Kuna namna unaweza kuonyesha bila kuweka tukio zima. All in all. Yeye ni mjinga zaidi kwa kuonyesha kuwa wachaga wote ni makatili kwa sababu tu mjinga mmoja amefanya hili tukio.Ili ionekane ni true kilichotokea dhidi ya uyo mchagga. Unazani asingeshea unyama dhidi ya mchagga nani angeamini!!!
Hahaha ningetaja kabila lako sawa. Nimetaja kabila languAnakera. Anataka kuonyesha kuwa kabila fulani lina watu makatili kuliko makabila mengine. Kulikuwa na haja gani ya kutaja kabila? Na mbaya zaidi anasema wenye wenza wa kichaga wawe na tahadhari. Kuna uhusiano gani kati ya mchoma paka na wachaga wengine? Pia ana-share tena huo ukatili anaolaani
Nilimiss thread zako MkuuYou must feel like a big person sitting behind on your phone and insult so cowardly
Accidents happen on roads they dont just read the news on TV without showing the accident SITE with people woonded, do they??
You are the stupid one not me. .
Alieyesema wachaga wote makatili nani?Kuna namna unaweza kuonyesha bila kuweka tukio zima. All in all. Yeye ni mjinga zaidi kwa kuonyesha kuwa wachaga wote ni makatili kwa sababu tu mjinga mmoja amefanya hili tukio.
Tatizo wengi mnaangalia mlipoangukia na siyo mlipojikwaa. Hawa paka wengi wameamua kuishi maisha ya wizi kwa sababu wametelekezwa. Mtu anafuga paka, anaacha wanazaana hovyo hawapi huduma,halafu anategemea watakula nini? Asilimia kubwa ya paka wezi chanzo ni binadamu.hawa wadudu hamuwajui nyinyi,usione hawaishi na msela ukadhani ni bahati mbaya.wanajua.
enzi hizo niko kijijini huko,imechinjwa kuku ikaungwa rost imeliwa robo mchana,inatakiwa iliwe na usiku na kesho yake maana tulibaki watoto 3 tu,wazazi waliondoka mchana huo kwenda seminar mjini.
huwa kuna meza kubwa sana iko nyuma ya nyumba,hiyo tunaweka vyombo na vifaa vingine vya chakula na hata mboga sometime,siku hiyo kwa kuogopa paka hatukuweka sehemu nyingine yoyote isipokuwa sufuria husika iliwekwa juu ya hiyo meza,kisha ikafunikiwa ndoo kubwa juu ya ndoo ikawekwa tofali ya block.
tukaenda kisimani kuchota maji.
wakati tunarudi tunashangaa kwa mbaaali kuna kama kuku wanakimbizana kunyang'anyana vitu,kumbe wamegawana nyama ya kuku aliyechinjwa,kuku nao tulikuwa nao kama 130 hivi wa kienyeji,kucheki ndoo juu ya meza iko chini,tukajua hapa tayari tumeshapigwa.
kufika pale paka tuliyekuwa tunamfuga,analamba mchuzi chini na wanaye kujipongeza kwa kazi aliyoifanya huku matumbo yanakaribia kugusa chini,kwa hasira nilipiga mmoja shuti hakuinuka na roho zake 7.
wengine walitawanyika mbiooo.
Wala hata usijihisi hivvyoAm back for now
It seems like I annoy a lot of people
Watu hawajuagi kupotezea ndo mana wanakufa na pressure
Duh
Soma hapa: ''Nimeandika haya nikimfikiria huyu mchaga ana roho ya namna gani kuchoma paka moto. Mie kama kuna paka anakula mifugo ningemuwekea sumu kwenye samaki. Lakini huyu jamaa ana roho ya namna gani. Mimi ni mchaga wa mkuu Rombo lakini aisee kuna wachaga wana roho ngumu sana. Nawataadharisha wale wenye wenza wa kichaga chungeni sana kuweni makini mnooo...''Alieyesema wachaga wote makatili nani?
Acheni kutoa povu tafuteni pesa mambo mengine hayana msingi
Kutaja kuwa wewe ni mchaga ndiyo kunahalalisha kusema wenye wenza wachaga wawe na tahadhari eti kwa sababu kuna mchaga mmoja kachoma paka? Unatania au unaandika tu kufurahisha baraza? Hata kwa kukuita idiot nimeku-favour sana.Hahaha ningetaja kabila lako sawa. Nimetaja kabila langu
Kuna dada limchoma mtu ndani
Kuna kipindi machame walikuwa wanatuchinja warombo. Wanakuja wanawavua watoto nguo na wakiona wa kiume wanachinja
Warombo wakafanya utetezi, mpakanl leo ni laana hakuna mmachame anayejenga nyumba yake ikatazama Rombo?
Kuna kipindi nilikuwa maandika vitabu kuhusu historia ya wachaga. Unajua mtoto alikuwa akitanguliza miguu wanamuweka kwenye Iramba wanam drown anakufa maji? Je unajua kuwa walikuwa watoto wakizaliwa mapacha wanaachwa tu porini waliwe na fisi kwa madai kwenye huo mji hu hakutokuja kuwa na watoto wa kiume. .
Mimi mwenyewe mchaga tena wa damu ila sizungumzii ukabila, nina vingi vya kusema.
Wewe una yako moyoni tu, sio kweli kuwa nimekusudia kukuudhi wewe tu
Nimekwambia jana, unapoona taarifa habari ajali imetokea ITV huwa hawaonyeshi? Nimeona watu wanapigwa risasi mubashara kwenye TV mbona hujatoa malalamiko yako nikayaona. .
Jumapili leo siku ya Bwana
Acha hizo sio poa
Nimesema KUNA wachaga sijasema wachaga woteSoma hapa: ''Nimeandika haya nikimfikiria huyu mchaga ana roho ya namna gani kuchoma paka moto. Mie kama kuna paka anakula mifugo ningemuwekea sumu kwenye samaki. Lakini huyu jamaa ana roho ya namna gani. Mimi ni mchaga wa mkuu Rombo lakini aisee kuna wachaga wana roho ngumu sana. Nawataadharisha wale wenye wenza wa kichaga chungeni sana kuweni makini mnooo...''
Haya maneno hapo juu ni jini ameandika? Soma sentensi ya mwisho.
Nimesema KUNA wachagaKutaja kuwa wewe ni mchaga ndiyo kunahalalisha kusema wenye wenza wachaga wawe na tahadhari eti kwa sababu kuna mchaga mmoja kachoma paka? Unatania au unaandika tu kufurahisha baraza? Hata kwa kukuita idiot nimeku-favour sana.