Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,646
- 35,979
Katika utumishi wangu wa umma wa miaka 5 na miezi 4 ni miaka 2 tu ndio niliishi kwa ufukara. 2016 na 207 niliishi maisha magumu sana. mpaka ilifikia nyumba niliyopanga kutoamini kuwa mimi ni mfanyakazi wa serikali. Si unajua jamii inavyowatukuza watumishi wa serikali , nadhani wengi hawajui kuwa kuna private offices zinalipa kama Ulaya kumbe ziko bongo.
Mungu si Athumani 2017 mwishoni milango ikafunguka. Naomba Mungu hii milango iendelee kuwa wazi. Watumishi wa umma msife moyo, hapo mlipo milango itawafungukia tu na mtaishi vizuri hata kama mtakosa nyongeza ya mshahara na madaraja.
Ikifunguka milango ingia haraka usianze kushangaashangaa. Jihurumie.
Mungu si Athumani 2017 mwishoni milango ikafunguka. Naomba Mungu hii milango iendelee kuwa wazi. Watumishi wa umma msife moyo, hapo mlipo milango itawafungukia tu na mtaishi vizuri hata kama mtakosa nyongeza ya mshahara na madaraja.
Ikifunguka milango ingia haraka usianze kushangaashangaa. Jihurumie.