Kuna watu humu wanakera!

Heloo

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
4,391
3,402
Kama kichwa kilivyo,

Kwa mtu timamu hakuna asiyejua hilo ni jukwaa la mlengo gani. Lakini cha kushangaza anatuma mtu post ya kusaka mchumba kama jukwaa linavyotaka,
mtu anaanza kumtukana mleta mada, mara oooh mtaani hujawaona, mara acha uhuni, mara humu kuna mataoeli, mara kwenu hujafundwa, mara wanaume kweli wameisha wadada mpaka mnajitangaza na blah blah nyingi.

Swali, wewe kama una kereka sana na hili jukwaa why unalifunguaa? Je hujayaona ma jukwaa mengine yasiyokukera? Hao watu wa hivyo ni kama wa naenda against na sheria za jukwaa hilo, naomba sana sana wanaotumia vibaya jukwaa hili wafungiwe maisha. Itakuwa fundisho kwa wenye lengo ovu la ivyo.

Nasema hivyo kwa kuwa mimi ni mmoja wa wafaidika wa jukwaa hilo kwa kumpata mwenzangu tena mpaka leo hatua shida sio mwenza tu jukwaa hili limenikutanisha na marafiki pendwa mpaka kusaidiana sana kwenye jamii na maisha kwa ujumla.

Huwa inaniumagaa sana kwa hawa ma dream killers. Hapa ni sawa na popote.

Ahsante kwa mtakaonielewa.
 
Kila mtu ana perception yake,let them say what they want as long as you are being the best you possible then what others say doesn't matter.......period!
 
Kila mtu ana perception yake,let them say what they want as long as you are being the best you possible then what others say doesn't matter.......period!
Sio sawa. Mfano...Hapa JF kuna ma jukwaa mengii why wasiende
Huko... ..
 
Achana nao
Si umeona hili tangazo Walau wamepunguza kukashfu Watu.Maana jukwaa Ni la kutafuta wachumba.So sioni kosa lolote MTU akitumia hilo jukwaa.Tupo kwa jili ya kujengana Na kurekebishana.Tukiacha wengi wataliogopa jukwaa hili Na Maana kupotea.Let us help each other!
 
Heloo, natamani kumuona huyo mwenzio,sio mnatuchora tu bana wekeni wazi :D:D
:D
 
wakatishaji tamaa tu hao, ndio changamoto za kwenye jamii , sio jamiiforums
 
Sahihi! Inaweza ikawa hii ndo sababu kuu ya watu kuwatolea mapovu watafuta wenza! Na kejeli,dhihaka juu.maana kuna ambao wanafungua ID fake kila kukicha wakifanya mchezo huo.
Sasa MTU wa hivyo.Tumtaje hadharani.Arekebishwe But tusiwahukumu wote.Mana Inakeraaa sana.
 
Back
Top Bottom