Roman Israel Esq
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 2,026
- 3,280
Yamindinda said:Tatizo unafiki na uzadiki umetujaa watanzania kwenye hili Saga kuna watanzania wanaopenda tufanikiwe na kuna watanzania wanaotaka tufeli
Kuna kauli nyingi sana zenye kufanana na hii kutoka kwa member anayeitwa yamindinda! Ambaye alikuwa akifurahia kuwa kampuni ya Barrick inapata matatizo na kwahiyo ni furaha kwetu!Kwamba kuna watazania wenzetu wanaotaka tufanikiwe, na kuna wale wanaotaka tusifanikiwe!
Hili la kushangaza sana, how is this even possible? Au labda hatujui wala kufahamu maana halisi ya mafanikio? Au pengine labda hatujui ni hatua gani zinazoonyesha kuwa sasa tunaelekea kwenye mafanikio? Au ni kwasababu kuna ambao wanaamini tumeingia chaka na kuna wanaoamini tuko sawa yani kwenye light traki?How is this even possible? Au ni namna zetu za tofauti za kutizama mambo na kuya analyse?