ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,532
- 44,648
Jana nimekuta meseji ya mapenzi kwenye simu ya mpenzi wangu,nikachukua namba hiyo inayomtumia meseji nikampigia jamaa nikamwambia wewe Ni Nani mbona una mahusiano na mpenzi wangu.jamaa akanijibu "oya me hapo napiga tu napita nakuachia mwanamke wako".moyo uliuma Sana nilitamani kuwe na kisu karibu nimchome mtu au nijichome hata mimi.nilidhani jamaa angenipa ushirikiano tujadili hili swala jamaa ndo kanimaliza kabisa.ebu fikiria demu nampenda Sana akidai Ana njaa fasta nampelekea chips namtumia hela halafu anaenda kugawa mzigo kwa mwingine.