ledada
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 15,544
- 59,112
Kabisa smh
Kabisa smh
Si umeniacha huku PM napigwa na baridi la upweke... we sawa tubabu bwana
Karib na hao ndio wanawake. Unaweza kuwa unampa kila kitu lakin sasa anatoa uchi kwa mtu wa ovyo kama huyo.Jana nimekuta meseji ya mapenzi kwenye simu ya mpenzi wangu,nikachukua namba hiyo inayomtumia meseji nikampigia jamaa nikamwambia wewe Ni Nani mbona una mahusiano na mpenzi wangu.jamaa akanijibu "oya me hapo napiga tu napita nakuachia mwanamke wako".moyo uliuma Sana nilitamani kuwe na kisu karibu nimchome mtu au nijichome hata mimi.nilidhani jamaa angenipa ushirikiano tujadili hili swala jamaa ndo kanimaliza kabisa.ebu fikiria demu nampenda Sana akidai Ana njaa fasta nampelekea chips namtumia hela halafu anaenda kugawa mzigo kwa mwingine.
Go home, get some sleep. Tomorrow is a new day. Msichana kama hajaacha issue za kupitiwa atakusumbua bure. Katafute ambaye keshasema, 'Hakuna jipya chini ya jua' mtulizane.Jana nimekuta meseji ya mapenzi kwenye simu ya mpenzi wangu,nikachukua namba hiyo inayomtumia meseji nikampigia jamaa nikamwambia wewe Ni Nani mbona una mahusiano na mpenzi wangu.jamaa akanijibu "oya me hapo napiga tu napita nakuachia mwanamke wako".moyo uliuma Sana nilitamani kuwe na kisu karibu nimchome mtu au nijichome hata mimi.nilidhani jamaa angenipa ushirikiano tujadili hili swala jamaa ndo kanimaliza kabisa.ebu fikiria demu nampenda Sana akidai Ana njaa fasta nampelekea chips namtumia hela halafu anaenda kugawa mzigo kwa mwingine.
Naona tatizo jamaa hakumwambia lini Atamuachia!Mbona jibu la kujitosheleza hilo. Kwani amekwambia anataka kumuoa.
Kwani ushafika PM babu?Si umeniacha huku PM napigwa na baridi la upweke... we sawa tu
Tayari nakusubiri wewe tu tuyamalizeKwani ushafika PM babu?
Mbona sikuoni au umekuja na id nyingineTayari nakusubiri wewe tu tuyamalize
Sichezi tena na weweMbona sikuoni au umekuja na id nyingine
mweeehSichezi tena na wewe
Nimeshakubloku...mweeeh
Nimeshakubloku...
Tayari... sema neno moja roho yangu iponeNi unblock basi nikwambie kitu lol
TayariTayari... sema neno moja roho yangu ipone
Mbona sikuoni au umekuja na id nyingine