ladypeace
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 935
- 506
Haaaa nimekupendai still believe in love... uaminifu ni tabia ya mtu na sio jinsia yake.
ooh love, plz never hurt this innocent soul of mine,,,
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Haaaa nimekupendai still believe in love... uaminifu ni tabia ya mtu na sio jinsia yake.
ooh love, plz never hurt this innocent soul of mine,,,
Kweli.Wengine wanatunza kinyongo.Haya nawe tusimulie yaliyokupata tujifunzeNingemove on yeye si wakwanza na wamwisho kuumizwa watu tushafanyiwa zaidi ya hayo
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Umeongea kwa huzuni sana Ndugu.What happened?Hatarii, ila wanawake hatari sana aise...jifanye mbabe, una maguvu na nini, wao piga lao moja tu kama hili! Acha kabisa, viumbe hatari, waamini kwa wakati wako ila hawaaminiki kabisa, ukioa uwe tayari kuvumilia kama haya..Ama sivyo utaishia gerezani..
Jamaa Ndo field yake.Anahusika huko.Hivi TZ ukiwa Na Pesa u nashindwa nini.Labda Roho ya MTU tuKwanza DNA Ina utaratibu wake wa kupima, haipimwi kimya kimya na kienyeji.
Pili miaka ya zamani upimaji wa DNA tulikuwa tunategemea Nairobi
Tatu hii cha mtoto kabisa hujasikia mwingine kamkodishie mahawara wamuue mchumba wake huko Mwanza?
Wapo waliosomeshwa Na kutulia
Sent from my Solar 5 using JamiiForums mobile app
Wahenga washasema mwanamke ni mama yako tu wengine photocopy na tushaambiwa hainaga ushemeji tunakulaga tuWadada usiwaamini hata kidogo
Sent from my VF685 using JamiiForums mobile app
Nimewafanyeje HelooUsitufanyie hivyo
Sent from my Solar 5 using JamiiForums mobile app
Nimecopy Kwa Member Mmoja Humu Ndo Nimepaste HapaUmeandika wewe kweli
Sent from my Solar 5 using JamiiForums mobile app