sawa mtani ngoja nianze kujisogezaHapo umeonyesha kuwa umekuwa kiakili....pata lunch hapo new africa hotel nitakuja kulipa mwenyewe....
Hahaha usinikumbushe kuna jamaa kamfumania mke wake kwenye shama la migombo, jamaa alijibanza mgombani ili kumjua anayemkula mkewe, ghafla kaja jamaa karibu na alijibanza mwenye mke, mda mfupi namkewe akawasili.Nilifuatwa na binti mmoja akilalamika kuwa amepata mchumba mzuri kwa kila jambo kasoro hawezi kabisa kumpa busu. Je, huu ni ugonjwa au ni nini? mimi binafsi sijawahi kusikia mwanaume asiyejua kupiga busu, hii ni mpya.....
Kwa busu namaanisha yote, french kiss na mabusu mengine. Huyu jamaa ana miaka 40 na binti 28yrs sidhani kama ni kukosa experience..