Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,443
- 113,452
Kwani katiba ni nini?. Ni ya nani?..Katiba inasemaje
Ya katiba inasemaje yote nimeeleza humu
Kwa kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?
Wanabodi. Kwa Kasi Hii ya Rais Wetu Mpendwa, Dr. John Pombe Joseph Magufuli na Falsafa yake ya "Hapa Kazi Tu", na kama hiki tunachokiona sasa, sio nguvu ya soda tuu, yaani ataendelea kwa kasi hii hii hadi 2020, kuna haja kweli ya kufanya tena uchaguzi wa rais?. Kwa maoni yangu, uchaguzi wa...
www.jamiiforums.com