Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,272
Usiombe mvua inyeshe na una nappy 5, wakati huo omo haipatikani sabuni olikua Foma kutoka Tanga. Nappy hazikuwa rahisi kwani zilipatikana kwa matendo kutoka Zambia, Kenya, Congo na walioishi mipakani ndiyo walituletea. Ukisafiri Dar Bukoba unafunga nappy chafu utafua ukifika.
Hizi zilihifadhiwa kwenye bakuli pembeni ya kitanda. Watoto wa .com mmekuta pampers, tume safiri safari ndefu.