Fundi Madirisha
Senior Member
- Jun 30, 2020
- 184
- 987
Nasikitishwa sana na wanaosema eti Tanzania kuna amani na utulivu wakati wanachama wa chama wa CHADEMA takribani 400 na zaidi wako gerezani kwa kesi mbali mbali za kubambikizia za mauaji na uhujumu uchumi, huo utulivu unatokana na nini? Haikutosha mmeamua kumtupia kesi ya Ugaidi mwenyekiti wao kabisa.
Haya mambo yana mwisho na wanayotekeleza haya makusudi walaaniwe na wafe vifo vibaya sana kwa jina la Yesu na tutaendelea kumlilia Mola wetu.
Haiwezekani kesi karibia zote zisizokuwa na ushahidi zinawalenga wanachama wa chama kimoja, hakuna huruma ili miradi tu kikundi fulani cha watu wachache kiendelee kula keki ya nchi wakati wengine wanaendelea kuteseka magerezani wakiacha familia zao zikiteseka. Tunamuomba Mungu wetu muumba wa mbingu na ardhi amalizane nao ili taifa lipate kupumua.
Huku ndio kuponyona majereha au kushindilia maumivu. Haya mambo kuna wakati jamii itachoka na haitavumilia ndipo tutakapoelewa.
Haya mambo yana mwisho na wanayotekeleza haya makusudi walaaniwe na wafe vifo vibaya sana kwa jina la Yesu na tutaendelea kumlilia Mola wetu.
Haiwezekani kesi karibia zote zisizokuwa na ushahidi zinawalenga wanachama wa chama kimoja, hakuna huruma ili miradi tu kikundi fulani cha watu wachache kiendelee kula keki ya nchi wakati wengine wanaendelea kuteseka magerezani wakiacha familia zao zikiteseka. Tunamuomba Mungu wetu muumba wa mbingu na ardhi amalizane nao ili taifa lipate kupumua.
Huku ndio kuponyona majereha au kushindilia maumivu. Haya mambo kuna wakati jamii itachoka na haitavumilia ndipo tutakapoelewa.