nimeamia singapore ntakuwepo hapa kwa muda, nlitaka kujua kama kuna wanajf wowote maeneo haya, thanks
Bob Nash,
Why are you specifically looking for JF members in Singapore? Why not - just Tanzanians?
Watanzania wapo wengi tu huko Singapore au Malaysia. Nadhani waweza kupata response kubwa zaidi endapo utatuelezea sababu za kutafuta wana JF huko uliko.
ungetaja jinsia mkuu......nimeamia singapore ntakuwepo hapa kwa muda, nlitaka kujua kama kuna wanajf wowote maeneo haya, thanks
basi mkuu sidhani kama utapata mwenyeji......male , mid twenties
nimeamia singapore ntakuwepo hapa kwa muda, nlitaka kujua kama kuna wanajf wowote maeneo haya, thanks
Mzee nipo viunga vya Kuala Lumpa wewe uko maeneo yapi?
niko maeneo hayohayo mkuu, maeneo yapi exactly unapatikana mkuu, manake jiji la wamalay kubwa hili
Teh Teh Teh!!!,Yo Yo na wewe una mambo!,una maana ukiwa na njinsia ya kiume hupati mwenyeji?,Lolbasi mkuu sidhani kama utapata mwenyeji......
Teh Teh Teh!!!,Yo Yo na wewe una mambo!,una maana ukiwa na njinsia ya kiume hupati mwenyeji?,Lol
Inaonekana Yo Yo ana matatizo makubwa na jinsia ya kike, nafikiri anahitaji maombi. Kuna thread moja niliona amekupa hi, nafikiri ni baada ya kuona avanta yako, isitoshe huenda akawa ameku-PM. Yo Yo njoo kwa YESU rafiki utapata msaada wa kushinda tamaa inayokusumbua dhidi ya akina dada.