ndiga
JF-Expert Member
- Jan 28, 2014
- 582
- 592
Hawa makolo wana ushabiki wa kukariri hawaoni litimu lao mwaka huu ni libovu wao wanataka licheze kama mwaka jana.Basi kwa ubora wenu endeleeni kushinda mechi na sio kulalamika nyie makolo
Yatakufa mamtu mwaka huu kwa ushabiki wa mazoea.