Kuna wakati nafsi yangu inatamani kula nyuma ya wife lakini najizuia

lelulelu

JF-Expert Member
Dec 8, 2017
401
366
Naomba msamaha kwa hili wakuu lakini hili jambo linanitokeaga sana hasa nikiwa na bi wife ndani tumetulia.Kuna baadhi ya nyakati Nafsi inakuwa inatamani mnoo kula tigor ya mke wangu lakini sikuwahi kujaribu huo mchezo na sipendi kujiona nimeingia kwenye huo mchezo mchaf.

Nafsi kuna wakati inashawishi kufanya lakini nkifkria madhara yake yatakayompata mke wangu na mm mwenyewe nazidi kuwa na imani juu ya kuukimbia huu mchezo mbaya ambao nafsi inashawishi kuufanya.

Kuna baadhi ya staili ambszo zinatia ushawishi japo kuchezea tgo na kidole tu kama mbuzi kagoma kuenda n.k hizi staili shetani wa nafsi anaztumia kututamanisha lakini tunzaidi kupambana kuepuka kuuanza huu mchezo.

Bora tupambane Na tutumie nguvu nyingi kuiepuka tabia kuliko kuPambana na Kutumia nguvu nyingi ili kuacha tabia.nafurahi sana mke wangu yuko salama nampenda sitaki kumharibu na kujiharibu mwenyewe.

Wanaume wenzangu nawaambia kwamba nafsi kawaida yake kutamani vizur na vbaya,hivyo tusiifate nafsi kila itakacho bali mengine tupotezee.

Ukipitia waliofanya michezo hii wanakuwa na stress baadae kuangalia namna ya kuacha kwa sababu nafsi zinawasuta tayari na kuhangaika wanajiona wapo kwenye hatia kabisa. Mimi na wewe ambao hatujawahi kufanya hii michezo tumshukuru Mungu tupotezee tusijaribu.

Nafsi itamani lakini ninaimani kwamba ni hali ya kawaida kutokana na vile dunia ilivyo lakini sitorudi nyuma,nitashUKkilia msimamo wangu ule ule wa kutokujaribu huu uchafu namshukuru Mungu kwwa hili.

Usikate tamaa mwanaume mwenzangu tuzidi kupambana kukimbia matamanio ya hizi nafsi zetu kwa kila kipendacho.
 
Ibilisi babu kishakupanda huyo uspofanya maombi unaenda naye motoni
Hapana mkuw namshukuru Mungu hii hali inazidi kupotea sana siku hizi.zamani ilishamiri kwa sababu ya video za ngono lakin cku hizi nimepambana nayo inapotea na nakaa mara nying siwaz haswa huo ujinga
 
Naomba msamaha kwa hili wakuu lakini hili jambo linanitokeaga sana hasa nikiwa na bi wife ndani tumetulia.kuna baadhi ya nyakati Nafsi inakuwa inatamani mnoo kula tigor ya mKe wangu lakini sikuwahi kujaribu huo mchezo na sipendi kujiona nimeingia kwenye huo mchezo mchaf.

Nafsi kuna wakati inashawishi kufanya lakini nkifkria madhara yake yatakayompata mke wangu na mm mwenyewe nazidi kuwa na imani juu ya kuukimbia huu mchezo mbaya ambao nafsi inashawishi kuufanya.

Kuna baadhi ya staili ambszo zinatia ushawishi japo kuchezea tgo na kidole tu kama mbuzi kagoma kuenda n.k hizi staili shetani wa nafsi anaztumia kututamanisha lakini tunzaidi kupambana kuepuka kuuanza huu mchezo.

Bora tupambane Na tutumie nguvu nyingi kuiepuka tabia kuliko kuPambana na Kutumia nguvu nyingi ili kuacha tabia.nafurahi sana mke wangu yuko salama nampenda sitaki kumharibu na kujiharibu mwenyewe.

Wanaume wenzangu nawaambia kwamba nafsi kawaida yake kutamani vizur na vbaya,hivyo tusiifate nafsi kila itakacho bali mengine tupotezee.
Ukipitia waliofanya michezo hii wanakuwa na stress baadae kuangalia namna ya kuacha kwa sababu nafsi zinawasuta tayari na kuhangaika wanajiona wapo kwenye hatia kabisa.mimi na wewe ambao hatujawahi kufanya hii michezo tumshukuru Mungu tupotezee tusijaribu.

Nafsi itamani lakini ninaimani kwamba ni hali ya kawaida kutokana na vile dunia ilivyo lakini sitorudi nyuma,nitashUKkilia msimamo wangu ule ule wa kutokujaribu huu uchafu namshukuru Mungu kwwa hili.

Usikate tamaa mwanaume mwenzangu tuzidi kupambana kukimbia matamanio ya hizi nafsi zetu kwa kila kipendacho.
Mwambie wife akujaribu wewe kwa ndizi then ukiona kama iko powa ndo yafanyie kazi mawazo yako
 
Back
Top Bottom