BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,020
- 8,480
Laumu Klopp.
Anaumia Keita unaingiza Henderson. Kwanini asiingie Firmino/Sturidge/Origi ili Winaldium (sinauhakika na Spelling) ashuke sehemu ya Keita?
Masikini ya Mungu mnahangaika sana SaaMbovu...sasa wangeingia hao ndio tim ingeshinda? Hivi mnafikiri Barca ni Huddersfield!!!