mbongopopo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2008
- 1,611
- 759
Tafadhali naomba uniambie.
au ni PM
Thank you
au ni PM
Thank you
Hapa hapa
Asante Preta, ni umbali gani na chunya?
Ni mwendo wa masaa mawili kutoka mbeya mjini, barabara is fairly good, ispokuwa kuna kona kali za hapa na pale ambazo ni kuwa mwangalifu nazo.
Ukiwa unaelekea chunya upande wako wa kushoto utaoba bonde zuri sana la usangu ( belong to rift valley). Kuna ukungu kidogo nyakati hizi
Ukifika chunya mjini ni mji mdogo na hauna u-bize sana, utapokelewa na mandhari mazuri ya umaskini wa kitanzania , lakini better than ludewa au ileje!
Kuna gest nyingi sana chunya mjini wala usiwe na hofu, kuna half london, mizeituni annex , na nyingi tu n.k
Mbele kidogo ya chunya mjini kuna mji mdogo unaitwa matundasi sehemu za migodi ni kama km 15 kutoka chunya mjini.
sehemu ya starehe ni mbele kidogo ya matundasi kama kilomita 8 utakuta mji wa viraha na maraha unaitwa Makongolosi
ni vizuri kuwahi kwani vijana wakishapata dhahabu zao huwa wanaweza kuchukua gest nzima na kulipia na akalala chumba kimoja tu!
maisha ni gharama kidogo, kwani dhahabu zimewaharibu.
is this information useful??
Mbozi hapa....karibu
Karibu Tunduma,border yetu wajanja!
Karibu Tunduma,border yetu wajanja!