KUNA WA2 WACHOYO SIJAPATA ONA

2011996bd

JF-Expert Member
Jun 20, 2016
270
95
Kuna jamaa rafiki yangu nilimtembelea kwake nikamkuta amebanika maji ya kusongea ugali yana chenka pembebi kuna unga na mwiko alivyoniona uwezi amini aliyapooza Yale maji akaenda kuyaoga.....
 
Kuna jamaa rafiki yangu nilimtembelea kwake nikamkuta amebanika maji ya kusongea ugali yana chenka pembebi kuna unga na mwiko alivyoniona uwezi amini aliyapooza Yale maji akaenda kuyaoga.....
msamehe tu mkuu ndo maishA ya mjn
 
Njaa zako ndizo zimesababisha uone alikuwa anataka kusonga ugali.
 
Kuna jamaa rafiki yangu nilimtembelea kwake nikamkuta amebanika maji ya kusongea ugali yana chenka pembebi kuna unga na mwiko alivyoniona uwezi amini aliyapooza Yale maji akaenda kuyaoga.....
Labda mkuu mboga ilikuwa kituko ndo maana
 
We ni msikilizaji mzuri wa hii radio E.A fm nilimsikia Mpoki akiongea muda si mrefu!
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom