Kuna vyeo/nafasi huwa sizielewi serikalini

Mrajisi wa Ushirika
mrajis wa ushirika ni msimamizi, mkaguzi, mshauri, msajili wa vyama vyotevya ushirika wa kuweka na kukopa (SACCOS) pamoja na ushirika wa mazao au mnaita vyama vya ushirikia vya msingi (AMCOS)....... huyu ndie anawasimamia maafisa ushirika wote Tanzania na vyama vyote vya ushirika vilivyosajiliwa
 
mrajis wa ushirika ni msimamizi, mkaguzi, mshauri, msajili wa vyama vyotevya ushirika wa kuweka na kukopa (SACCOS) pamoja na ushirika wa mazao au mnaita vyama vya ushirikia vya msingi (AMCOS)....... huyu ndie anawasimamia maafisa ushirika wote Tanzania na vyama vyote vya ushirika vilivyosajiliwa
Makatibu wadogo wa wizara husika wanafanya kazi gani?
 
Nivae pichu ya nini wakati nimevaa boxer?
Ainisha majukumu ya makatibu wa kuu wasaidiz kisha ainisha majukumu ya mrajis wa vyama vya ushirika.... utaiona tofauti ..... haujaenda uwanjani kuwaangalia YANGA..... nasikia uwanja umejaaa......
 
mrajis wa ushirika ni msimamizi, mkaguzi, mshauri, msajili wa vyama vyotevya ushirika wa kuweka na kukopa (SACCOS) pamoja na ushirika wa mazao au mnaita vyama vya ushirikia vya msingi (AMCOS)....... huyu ndie anawasimamia maafisa ushirika wote Tanzania na vyama vyote vya ushirika vilivyosajiliwa
Ahsanteee kwa ufafanuzi mkuu
 
Katibu tawala RAS kazi yake nn?
Huyo ndo anayeratibu shughuli zote za mkoa. Mkuu wa mkoa yeye anapewa tu atafune. Inshort huyo ndo boss wa mkoa. RC yupo kisiasa zaidi.
Kutoa kichwani inategemea aina ya tukio au sehemu lakini katika matukio nyeti kama vikao vya kimataifa au semina lazima asome hotuba akiacha akibolonga hilo ni lake lakini kama anaongea na wananchi wa Chato aandikiwe hotuba ya nini wakati mwingine anatiririka kisukuma. Juzi pale chuo si alikuwa na hotuba aliyoandikiwa akasema hawezi kuitumia ile kwakuwa inamnyima uhuru wa kuongea sasa mukhali ulivyopanda sio akalikoroga kuhusu wale watoto wa udom aliwaita vi.ra.za? Labda ungesema MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA. Hivi huyu ana kazi gani kwa sasa? Maanda kusajili ukishaandika kwenye daftari ambayo ni kazi ya dakika zisizozidi 5 unakaa ofisini kufanya nini? Kutokana na kukosa kazi ndio maana juzi juzi akaona ahamie kuwa msemaji wa rais kwa kufafanua hotuba ya rais
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom