nashicha
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 279
- 517
Tuwe wakweli katika kupambania kushika Dola Kuna vyama ambavyo Wala haviwazi malengo hayo au hata kubadili mwelekeo wa hii nchi viongozi wake wapo pale kuvitumia kama kule Kenya wanaita VIOSK vya Tigopesa au mpesa kujipatia pesa na umaarufu wakuitwa Wenyeviti na kama Kuna kongamano au mwaliko utawaona hao viongozi bila hata wanachama na havijulikani malengo yake.
Kwa Mfano CHAUMA DP ACT TLP na hata CUF lipumba alikigeuza hiki chama kuwa CHAKA LAKE la kupiga pesa na kufanya njia rahisi kuonana na Viongozi wa serikali kwa kivuli ni viongozi wa vyama Hawana nia thabiti ya kufanya hii nchi itoke ilipo au kuipush CCM ifanye vizuri zaidi.
Sisi kama WANANCHI tunatakiwa kuamka Sasa kuviunga mkono vyama makini kwaajili ya ustawi wa TAIFA letu maana hata kama chama kilichopo madarakani kinafanya vizuri vyama vya upinzani Huwa vinakitisha ili kifanye vizuri zaidi na zaidi tujitahidi kukubali kushirikiana ili chama chochote kilichopo madarakani kila kinapotazama nyuma kiona Kuna chama kinataka kukipokonya madaraka ndio maendeleo yatakuja kwa kasi
Kwa Mfano CHAUMA DP ACT TLP na hata CUF lipumba alikigeuza hiki chama kuwa CHAKA LAKE la kupiga pesa na kufanya njia rahisi kuonana na Viongozi wa serikali kwa kivuli ni viongozi wa vyama Hawana nia thabiti ya kufanya hii nchi itoke ilipo au kuipush CCM ifanye vizuri zaidi.
Sisi kama WANANCHI tunatakiwa kuamka Sasa kuviunga mkono vyama makini kwaajili ya ustawi wa TAIFA letu maana hata kama chama kilichopo madarakani kinafanya vizuri vyama vya upinzani Huwa vinakitisha ili kifanye vizuri zaidi na zaidi tujitahidi kukubali kushirikiana ili chama chochote kilichopo madarakani kila kinapotazama nyuma kiona Kuna chama kinataka kukipokonya madaraka ndio maendeleo yatakuja kwa kasi