Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,831
MakondaAwamu ya 5 kuna viongozi waliwika sana hasa kwenye vyombo vya habari na mitandao mbali mbali ya kijamii ambao haipiti siku bila kuwaona au kuwasikia ila kwa sasa imekuwa tofauti wapo kimya mpk kuona kama awapo katika awamu hii ya 6.
Wewe unamkumbuka nani? Mimi Mh Prof Palamaganda Kabudi mzee sijamsikia muda
Hana wa kumdekiaBwana Ally Hapi ni kama hayupo vile, kweli kila zama na kitabu chake
Upepo umepitaMusukuma kama kamwagiwa maji baridi sana
Huyo unayemsema, mbona juzi tu kaunguruma kwenye sherehe sijui ya wanasheria pale Dodoma!Awamu ya 5 kuna viongozi waliwika sana hasa kwenye vyombo vya habari na mitandao mbali mbali ya kijamii ambao haipiti siku bila kuwaona au kuwasikia ila kwa sasa imekuwa tofauti wapo kimya mpk kuona kama awapo katika awamu hii ya 6.
Wewe unamkumbuka nani? Mimi Mh Prof Palamaganda Kabudi mzee sijamsikia muda
Alisikika akisema magufuli lazima aongezewe muda!!!!Dr Abbas, alifikia hatua ya kumfuatilia na kujibu kila anachoongea jk (lengo kujipendekeza kwa wendazake sababu nae alikuwa mtu wa namna hiyo i.e kumponda j.k) mpaka jk akafikia hatua ya kushangaa nini kimempata bwana mdogo!! Sasa yupo dorooooo
Upepo miezi 6? Makonda alianza kabla ya rais jiwe kwa kuweka watu ndani wazoYapo na mambo yao, wanasikilizia upepo...
Mzee wa kuponda wasomi kwamba anawazidi akiliMusukuma kama kamwagiwa maji baridi sana
Walikuwa wanaitia mdundo wa ngomaUmeshanisahau yule wa atake asitake tutamlazimisha, sijui walikutwa na nini jamani
Huyu alijipendekeza mpaka aibu yaani! ikafika mahali sasa ameona aibu sasa!! kwa matendo yake ukimuona leo utamhurumia!Prof Palamaganda Kabudi mzee sijamsikia muda
Kessy wa Nkasi. Hakurudi bungeni, alishindwa na ' Kipusa' wa ChademaUmeshanisahau yule wa atake asitake tutamlazimisha, sijui walikutwa na nini jamani
Kessy sijui aliwezaje kuwa mbunge ingekuwa vizuri tungekuwa na tume huru ambayo inawafanyia vetting baadhi confidante ambao uwezo wao kujenga hoja unafikilishaKessy wa Nkasi. Hakurudi bungeni, alishindwa na ' Kipusa' wa Chadema