Kuna vijana kama mimi ambao hatuna mitaji ila tuna akili ya biashara na tuna mawazo ya biashara

Mashaurijr

JF-Expert Member
Oct 8, 2016
629
1,014
"Use force to reach the end " hii ndio slogan iliyonitoa kuwa tegemezi mpaka kujitegemea, ukichanganya na "sacrifice the betterment of few days for the long time joyfulness". Ukichanganya hizo slogan mbili 10M bila kukopeshwa , kupewa, kubebwa, na maendeleo mengine yakaja,.

Ninapoomba huu uwekezaji nina mkakati nao wa kunifikisha kwenye malengo yangu. Kwa haraka ninavyotaka na kwakuwa namtumikia Mungu hakuna madhara yoyote kwa mwekezaji , mwekezaji atapata kile anachostahili na mimi nitapata kile kinachostahili na mrejesho nitawaletea hapa.

Tanzania tatizo kubwa ni uaminifu kama ambavyo jamaa hapo kasema ni utapeli. Mungu atusaidie maana hii dhana inatuchelewesha sana kufikia kwenye malengo yetu.

Tanzania kuna watu wanamitaji ila hawana pa kuwekeza au hawana mawazo ya biashara na wala hana uzoefu wowote wa biashara wala akili ya biashara,

Alafu kuna vijana kama mimi ambao hatuna mitaji ila tuna akili ya biashara tuna mawazo ya biashara tuna mtazamo wa kibiashara na tuna uzoefu kwenye biashara ila tatizo mtaji , sasa wale ambao niwaaminifu kabisa tunapotaka kujilink na wenye mtaji dhana ya utapeli inatuangusha

Kama wenye mtaji na wenye akili na mawazo ya kibiashara au upande wa kilimo wangeaminiana Tanzania hii tungeusahau umaskini na ukosefu wa ajira
 
"Use force to reach the end " hii ndio slogan iliyonitoa kuwa tegemezi mpaka kujitegemea, ukichanganya na "sacrifice the betterment of few days for the long time joyfulness". Ukichanganya hizo slogan mbili 10M bila kukopeshwa , kupewa, kubebwa, na maendeleo mengine yakaja,.
Eb nipe wazo la biashara yenye mtaji usio zidi 10m.
 
Nadhani mwenye mawazo na akili atafute mtaji, na mwenye mtaji atafute mawazo.
Sio rahisi kama unavyofikiri, huyo mwenye mtaji huenda kabanwa na majukumu, na pia biashara haujifunzi siku mbili, mwenye akili atafute wapi huo mtaji?? Ataupata lini easy wangeungana fasta kila mmoja ange gain hata mwenye akili anaweza kupata mtaji na mwenye mtaji akapata akili wakafungua kampuni wakiamua wakauza hisa wakajitanua zaidi,
 
Sio rahisi kama unavyofikiri, huyo mwenye mtaji huenda kabanwa na majukumu, na pia biashara haujifunzi siku mbili, mwenye akili atafute wapi huo mtaji?? Ataupata lini easy wangeungana fasta kila mmoja ange gain hata mwenye akili anaweza kupata mtaji na mwenye mtaji akapata akili wakafungua kampuni wakiamua wakauza hisa wakajitanua zaidi,
Ukweli ni kwamba kufanya biashara za kuungana either mtu atoe mtaji mwingine asimamie, kwa sisi watanzania ni ngumu sana sababu ya ubinafsi uliotujaa na kutokuwa waaminifu.
 
Ukweli ni kwamba kufanya biashara za kuungana either mtu atoe mtaji mwingine asimamie, kwa sisi watanzania ni ngumu sana sababu ya ubinafsi uliotujaa na kutokuwa waaminifu.
Mchawi kuaminiana na mbishi ni mwenye mtaji ila kuaminiana kungekuwepo maendeleo yangeibuka haraka sana
 
Kuna uzi mwingine tena wako wa 6.7m wa duka

Sasa hebu niambie umekwama wapi mpaka ukaanzisha uzi mwingine

Kitu gani kimekusukuma tena ufungue thread tofauti?

Kutoa hela sio kazi rahisi kihivyo kwa mtu asiekujua ingawa hata wanaojuana wanalizana pia

Hebu niambie biashara ya hela ndogo ulioizungusha na kupata faida kwa siku hiyo hiyo
 
Kuna uzi mwingine tena wako wa 6.7m wa duka
Sasa hebu niambie umekwama wapi mpaka ukaanzisha uzi mwingine
Kitu gani kimekusukuma tena ufungue thread tofauti?

Kutoa hela sio kazi rahisi kihivyo kwa mtu asiekujua ingawa hata wanaojuana wanalizana pia

Hebu niambie biashara ya hela ndogo ulioizungusha na kupata faida kwa siku hiyo hiyo
Nilijua wote mnaakili ndefu, hivyo kule kwa 6.7. nilitumia neno mtaji unaozunguka rudi kasome upya, Ukija huku nimesema mtaji. Nikiwa na maana ya mtaji mzima wa duka, ukihusisha kama kreti empty za soda mitungi empty ya gesi hivyo vitu garama yake sio mtaji unaozunguka. Nadhani umenielewa mkuu. Pia sipo kulazmisha mtu anielewe au aniamini nipo kwenye hatua nzuri kupitia uzi wa uwekezaji nitaleta mrejesho kwa walioleta dharau wabadilike kiakili sio kila mtu ni tapeli hiyo dhana inatucheleweshea sana kupata maendeleo
 
Nilijua wote mnaakili ndefu , hivyo kule kwa 6.7. nilitumia neno mtaji unaozunguka rudi kasome upya,. Ukija huku nimesema mtaji. Nikiwa na maana ya mtaji mzima wa duka , ukihusisha kama kreti empty za soda mitungi empty ya gesi hivyo vitu garama yake sio mtaji unaozunguka,. Nadhani umenielewa mkuu ,. Pia sipo kulazmisha mtu anielewe au aniamini nipo kwenye hatua nzuri kupitia uzi wa uwekezaji nitaleta mrejesho kwa walioleta dharau wabadilike kiakili sio kila mtu ni tapeli hiyo dhana inatucheleweshea sana kupata maendeleo

Nimekuelewa yote
Kuhusu utapeli mimi siko huko kabisa natoa msaada au biashara kwa maelewano na sio wote matapeli
 
Back
Top Bottom